Natafuta mchumba ambaye atakuwa Mume Bora

Natafuta mchumba ambaye atakuwa Mume Bora

Kupata mume bora inategemea ni jinsi gani uivyojitunza kweny ujana wako,kama ulikuwa mtulivu tu basi MUNGU BABA atakupa mtulivu ila kama ndo wale wale imekula kwako
Na hujui pia hao unaowaita wale wale sometimes Mungu anawapa mume mwema na wanatulia kabisa hadi waliokuwa wakisema "haolewi huyu" wanatamani hadi kumuuliza Mungu imekuwaje?
 
Mimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.

Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.

Vigezo awe anajishugulisha na kazi yoyote awe Mkristo, kabila lolote, umri wowote , Asiwe na Mtoto.

Karibuni
Kumbe kuolewa dili eh
 
Mimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.

Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.

Vigezo awe anajishugulisha na kazi yoyote awe Mkristo, kabila lolote, umri wowote , Asiwe na Mtoto.

Karibuni
Ndio mara ya kwanza sijaona kigezo cha urefu
 
Mimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.

Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.

Vigezo awe anajishugulisha na kazi yoyote awe Mkristo, kabila lolote, umri wowote , Asiwe na Mtoto.

Karibuni
Umeshakitombeshaa ndio unatafuta mume,nani ananunua gazeti la jana
 
Ivi nyie mnaotafuta wachumba kwa mtandao uko kwenu akuna watu? au wanazijua tabia zenu???
 
Back
Top Bottom