Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Story in the street 🤣Bahati mbaya hatuko humu kwa sababu hiyo.
Sio kila mwanamke analiwa ovyo
Sijasema humu wewe ndezi/mdudu🤣Bahati mbaya hatuko humu kwa sababu hiyo.
Sio kila mwanamke analiwa ovyo
🤣🤣🤣 inachekeshaStory in the street 🤣
Weka namba ya simu wadau wachangamkie fursaMimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.
Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.
Vigezo awe anajishugulisha na kazi yoyote awe Mkristo, kabila lolote, umri wowote , Asiwe na Mtoto.
Karibuni
Pimbi pro maxHiyo hiyo siku nitapata taarifa
Na tutaanza kukuona pimbi
😂😂😂
Hata ikiwa wapiSijasema humu wewe ndezi/mdudu🤣
Yan unatongoza btn friends? We ni pimbi tuKwani si nimetoa yaarifa?
Bro sio kiivooo😂 Pm si ipoWeka namba ya simu wadau wachangamkie fursa
Yaani kajidhihirisha wazi 🤣🤣🤣Yan unatongoza btn friends? We ni pimbi tu
Kibungo kanijia kichwani 😂😂Yaani kajidhihirisha wazi 🤣🤣🤣
Subirini kwanza nilale 🤣We kichwa chako leo kina wadudu huelewi😂😂
Namba itawashawishi zaidiBro sio kiivooo😂 Pm si ipo
Hakuna Mume bora,ila kwa kumjenga wewe ili awe mume bora,hata kama utamlinda ili awe unavyotaka,bila ya kufanya yale yatakayo msaidia kuwa bora.kulingana na ndoto zenu tena sio zako,ila ndoto za kukaa kupanga kuridhiana na kukubaliana.Na sii zile za kutaka kuishi maisha ya kuigiza,kwa kuangalia rafiki zako,ndugu au maisha ya wanaowazunguka.🤔Mimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.
Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.
Vigezo awe anajishugulisha na kazi yoyote awe Mkristo, kabila lolote, umri wowote , Asiwe na Mtoto.
Karibuni
hahaha kujaNgoja nitajileta PM juma pili naamini ndo nitakuwa wa mwisho kutuma maombi