Natafuta mchumba ambaye atakuwa Mume Bora

Natafuta mchumba ambaye atakuwa Mume Bora

Hongera kwa hilo lakin swala linaloitwa ndoa ni taasisi inayojitegemea tena ni ngumu kuiishi kama haujafanya utafiti mzuri wakati wa kuliendea.Swala la kuandika humu tangazo na vigezo vyako kama unatafuta mfanyakazi wa ndani au dukani mh unanitia mashaka kama upo seriously. (HASA KWA DUNIA YA SASA)
 
Kwa kuandika tu upo vizuri hakuna hata moja umekosea. Hongera na hii ni moja ya vitu vinaonesha utimamu (smartness) ya mtu kiakili na kimwili.

La pili nasikia vijana wanahamasishana kukataa ndoa, ila wachache wanapinga hamasa hiyo. Naamini utampata.

Kwa unadishi wako, upo vizuri. Mengine sijui atayajua mtayeoana nae
asante Kaka yan ile comment ya kwanza iliyonikosoa imenifanya niangalie sms yang mala mbili mbili aisee sijakosea ata sjui Alikua ananikosoa nn yan 😆
 
Kwanini huko mtaani unapoishi wanaume wenzangu wameshindwa kukuoa wanaogopa nini?
 
Dada ake hana masharti mengi wala nini?Nampa pole kwa usumbufu atakaoupata huko PM,maana nahisi atakutana na maombi zaidi ya 600,kazi kwake kuyafanyia upembuzi yakinifu!
ILA USISAHAU KULETA MREJESHO.
 
Mimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.

Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.

Vigezo awe anajishugulisha na kazi yoyote awe Mkristo, kabila lolote, umri wowote , Asiwe na Mtoto.

Karibuni
Zile ZERO za Form 4 zimeanza kutafuta nafuu ya maisha mitandaoni.
 
Mimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.

Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.

Vigezo awe anajishugulisha na kazi yoyote awe Mkristo, kabila lolote, umri wowote , Asiwe na Mtoto.

Karibuni

Baby Mama nakuja kujaribu bahati yangu DM[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
 
Mimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.

Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.

Vigezo awe anajishugulisha na kazi yoyote awe Mkristo, kabila lolote, umri wowote , Asiwe na Mtoto.

Karibuni

Wewe ndo huyo kwa DP au unakatibia kufanana na huyo??
 
Back
Top Bottom