Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namwandikia mdogo wangu Satoh HiroshChakorii hilo gazeti wamwandikia nani?🤣🤣
Wee vitu vi4 hapo vyakuhusu, hiko cha 5 nacho sio big deal sana 😂Kwa sababu umeona vitu viwili vinavyonihusu 😂😂😂
Nataka wa karibu
Muda wotr nimuibukie
Noted.Ndugu yangu,kaka yangu naomba usubiri subiri kidogo.Mashindano ni mazito sana na upembuaji wa nani anafaa nani hafai ni mkubwa
Hahaa mwambie aje saiviUrafiki wenu umevuka mipaka nitamwagiza malaika aukague🤣
Glenn huwa ni mkorofi siku zote.Namwandikia mdogo wangu Satoh Hirosh
Njoo Pm kwanza tuongee vizuriHonest nna tatizo la kuchanganya R na l ... kikubwa si umeelewa ... ila iyo Christo yako umeongopa angalia ya kwangu ipo sawa kabisaaa
Kabla hata ya kumtafuta Oni Sigara, kwani wakati unaandika wewe ni msichana mwenye umri wa miaka 26, ulikuwa unamaanisha nini?Hapa nadhani tumtafte Oni sigara labda atufafanulie
Nimerudi kusoma uzi 😂Wee vitu vi4 hapo vyakuhusu, hiko cha 5 nacho sio big deal sana 😂
Kwahyo mtoa uzi sio wewe?
Thibitisha tasavali, bado nafsi imeshindwa kukubali huyu sio wewe
🤣🤣🤣🤣Nimerudi kusoma uzi 😂
Mbona kama ni mimi,, ila sio mimi bana
🤣🤣
Bro ukorofi wangu uko wapi?🤣🤣🤣
ShostMimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.
Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.
Vigezo awe anajishugulisha na kazi yoyote awe Mkristo, kabila lolote, umri wowote , Asiwe na Mtoto.
Karibuni
Yaan🤣🤣🤣🤣
Mtafute pacha wako huyo
Njiro Tena ww hutaki mapenzi ya kwenye simuAh shoga angu ukimpata nipasie mmoja
Me nataka anaekaa Njiro tu
[emoji1787][emoji1787]
Siyatakiiii hata kwa hela 🤣Njiro Tena ww hutaki mapenzi ya kwenye simu
Bila shaka umeshanipataMimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.
Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.
Vigezo awe anajishugulisha na kazi yoyote awe Mkristo, kabila lolote, umri wowote , Asiwe na Mtoto.
Karibuni
Comment yako ndo ilikuwa inasubiriwa na FaizaFoxy bado hajatia yake ili nichukuwe mke hapaAll the best
Duniani wawili wawili🤣🤣Yaan
🤣🤣
Angekuwa anaandika fluent swahili, hakii ungekazania ni mimi
Njoo Pm hata unishawishi niamie huko ArushaSiyatakiiii hata kwa hela [emoji1787]