Natafuta mchumba ambaye atakuwa Mume Bora

Natafuta mchumba ambaye atakuwa Mume Bora

Si kwa ubaya lakini, Hivi hujui kwamba WANAUME kaulimbiu yetu ya sasa ni KATAA NDOA KWA AFYA YA MWILI NA AKILI?
 
Mimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.

Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.

Vigezo awe anajishugulisha na kazi yoyote awe Mkristo, kabila lolote, umri wowote , Asiwe na Mtoto.

Karibuni
Wewe huna mbambamba, cha muhimu unataka mwanaume😂, hujataka ooh maji ya kunde
 
Hizi ndio red flags zenyewee🚩🚩🚩🚩🚩
Mabaharia nendeni PM ila kichwani patupu hapa
Mimi kama kichwa kitupu siwez kukaa kimya wacha nkujib kaka.. Achana na hizi elimu tulizonazo skuiz diproma sjui degree angalia ndoa za mama zetu wa zamani waliokua wakiolewa hawajui kusoma Wala kuandika compare na zetu tunaojiita wasomi wenye degree zipi zinadumu ? ukipata jibu kichwa kitupu niko palee njoo unijibu ..Ukitaka kuoa angalia mwanamke mwenye akili yakimaisha bro.
 
Mimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.

Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.

Vigezo awe anajishugulisha na kazi yoyote awe Mkristo, kabila lolote, umri wowote , Asiwe na Mtoto.

Karibuni
mke ndiye humtengeneza mume kuwa bora
 
Back
Top Bottom