.......nadhani anajua kuna resheni.... Kwa hiyo maisha ni kama kuteremka Ngulelo[emoji176]Me nimetamani tu kujua kwanini mwanajeshi..!? Naweza jibebea point 3 muhimu hapa..!
CONTROLA eni aidia hia mdogo wangu!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.......nadhani anajua kuna resheni.... Kwa hiyo maisha ni kama kuteremka Ngulelo[emoji176]Me nimetamani tu kujua kwanini mwanajeshi..!? Naweza jibebea point 3 muhimu hapa..!
CONTROLA eni aidia hia mdogo wangu!!?
Walio mtaani hawapo humu mkuu?Nabii hakubaliki kwao. Embu toka hata mtaa wa pili dada yangu huenda kweli umeshindwa kukubalika kitaani kwako au mkoani kwako
Wa viben ten utawajuwa tu kwa maswali yao. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kua na heahima wewe,,, mke mdgo wakati amekuzidi umri huyo,,,[emoji849]Mimi nina miaka 28
ni Luteni wa jeshi
naishi Tegeta
nina mke moja nataka kuongeza mke wa pili.
huwa sipendi mizaha isiyo na mpango.
ukiwa mke wangu maarufu kuvaa mawigi au kubandika mikucha ya bandia
Vipi ninakufaa uwe mke mdogo ?
Nipe tafsiri ya heshimaKua na heahima wewe,,, mke mdgo wakati amekuzidi umri huyo,,,[emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukame ukizidi kwa nini husiibe mkuu ?
Waambie waelewe umli sio akirKuna ulazima gani mwanamme awe amekuzidi umri kwenye mahusiano?
Na mimi nimeliona hilo kwako.Waambie waelewe umli sio akir
kelphin kepph
Ukosefu wa mgegedo kwa muda mrefu
Kuuona au kuuhisi ?
Wanawake tunapenda sana kulindwa, na si kwamba tunapenda in fact, it was meant to be, tulindwe na tupendwe! Sasa kuwa na mwanaume anayejiamini inatufanya siye wanawake to have that feeling kuwa tupo secured in every rising situation.!hivi kujiamini mnakupendea nn??
nina demu wangu huyo, haachagi kunisifia kwa ninavojiamini, ktk madem nliwai kukutana nao, asilimia kubwa wanapenda wanaume tunaojiamini,
kuna siri gani kwny kujiamini????
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinadada niliwahi moenda mno....nilifight sana KUA naeNa mimi nimeliona hilo kwako.
Kweli sweety wanawake wengine bwana nyuma ya pazia naona wamegeuza kuwa sehemu ya kuwazuzuza maboya wanaopenda vitongaKila siku unahangaika kufungua ID Mpya .......wanawake bwana tamaa mbele mauti nyuma
Mnatafuta wa kupiga vizinga ....ukiona yupo kimya unafungua ID mpya tena kutafuta wengine
sent from toyota Allex