Natafuta mchumba au rafiki

Natafuta mchumba au rafiki

lakini huyu jamaa kweli mchumba atampatia hapa JF ..ina maana hana confidence za kuwaface hapo mtaani kwao,kazini,kijijini ,manesi kibao ,maticha ndo usiseme,,maafande wa JWTZ wamejaa tele ..
teh teeeh , point to note and will be taken into action soon!!, na Polisi nao ni wengi. halafu hawa utakua na uhakika wa usalama kwa 100%, ukipelekwa kituo cha polisi askari wote watakua shemeji zako kesi hakuna, kwishnei!!.
 
teh teeeh , point to note and will be taken into action soon!!, na Polisi nao ni wengi. halafu hawa utakua na uhakika wa usalama kwa 100%, ukipelekwa kituo cha polisi askari wote watakua shemeji zako kesi hakuna, kwishnei!!.

Traffic police!!!. Hakuna raha kama kusaula vazi jeupe na kofia kwenye sita kwa sita!
 
teh teeeh , point to note and will be taken into action soon!!, na Polisi nao ni wengi. halafu hawa utakua na uhakika wa usalama kwa 100%, ukipelekwa kituo cha polisi askari wote watakua shemeji zako kesi hakuna, kwishnei!!.

Hii poa sana GP, nilikuwa sijaishtukia, totoz njangu kumbe swaafi-si zamani walikuwa wanasema waolewe na polisi wenzao?
 
Hii poa sana GP, nilikuwa sijaishtukia, totoz njangu kumbe swaafi-si zamani walikuwa wanasema waolewe na polisi wenzao?
ebwanaee, nikupe dili mpwa??
kama uko dar fika pale kona ya masaki (contena/zambia) wanasimama kuongoza magari pale karibu na kituo cha teksi, kuna totoz polisi kali baraaaaaa halafu wale wametoka depo juzi tu, aseee nawatamanigi sana sema tukutuku inakuaga haina breki nashindwa kusimama niwape japo hai!.
 
teh teeeh , point to note and will be taken into action soon!!, na Polisi nao ni wengi. halafu hawa utakua na uhakika wa usalama kwa 100%, ukipelekwa kituo cha polisi askari wote watakua shemeji zako kesi hakuna, kwishnei!!.

hahahahahah hapa ukipelekwa na zali unashangaa shemeji karibu tukusaidie nini!!
 
Tatizo la humu JF, mizaa imezidi katika mambo yanayotaka u-seriouse,

Ndugu yangu nakushauri utafute sehemu za ibada au sehemu za starehe, hapa hupati kitu

Ukitaka jibu lililo seriouse uliza mambo ya siasa, majibu zaidi ya 101 utayapata ndani muda mfupi saaaana.
 
lakini huyu jamaa kweli mchumba atampatia hapa JF ..ina maana hana confidence za kuwaface hapo mtaani kwao,kazini,kijijini ,manesi kibao ,maticha ndo usiseme,,maafande wa UWTZ wamejaa tele ..
Kwani lazima uwe na confidence ili uoe/olewe? Asiye na confidence atapata "wa type yake". Muhimu ni kwamba ameanza mchakato wa kutafuta. Atakutana nao huko online. Mambo mawili yatatokea: Atafanikiwa au asifanikiwe.

Kwenye zoezi hilo atakuwa amejifunza mawili matatu ambayo yatamsaidia kuchagua au kuwatema hao anaowaona mtaani. Confidence nayo itapanda.
 
kwa nini umejiajiri halafu unataka mfanyakazi? ninavyoona huyo ni mvulana anataka msichana. Nakukaribisha kanisani kwetu Kinondoni church uje uone vimwana vinavyompenda Yesu upate upako wa kuoa.
 
Mhhh! we hunitakii mema. Mwishowe utasema niende corner bar sinza africa sana.

Ohh..! kumbe Corner bar unapapata? Nami natafuta mchumba hivyo tukutane corner bar kesho saa moja jioni. Ila hujaweka bayana kiwango chako cha elimu, kama una stashahada au shahada itakuwa poa sana.
 
Jamani wana JF kijana mwenzenu nimechoka kuwepo kuwepo sana kwa hiyo nataka kuoa hivyo nipo kwenye mchakato wa kumpata.

Mkuu jaribu bahati yako hapa chini

Getrude.
Umri wake: 26-32
Umri wa anayemtafuta: 32-40
Anatafuta: Mchumba
Jinsia anayoitaka: Mvulana
Anapenda kuwa na uhusiano na mtu mweye sifa zifuatazo
natafuta mchumba ambaye anamcha mungu hawe na mapenzi ya dhati, hawe mwaminifu, hawe ni mtu anayependa maendeleo
Wasifu wake na vitu anavyopenda
mimi ninafanyakazi kwenye company ya mtu binafasi ni Secretary elimu yangu ni kidato cha nne, nimeokoka nampenda Yesu, napenda kusoma bible, kusikiliza kwaya, kuangalia TV, kusoma vitabu
Nchi anayoishi sasa: Tanzania
Email: getrude.nickson@yahoo.com
Simu yake: nitatoa baadae
Sababu ya kutafuta ni:
kuwa na mtu wa kutiana moyo katika maisha

Sijui atakufaa kazi kwako mkuu.
 
Mvina;672199]Mkuu mbona kakueleza kuwa anataka kuoa bana au hata mademu wanaoa nn cku hizi?[/QUOTE]

Yaweza kuwa ni mhindi wa kisingasinga wao mwanamke ndiye anaeooa tena na kulipa mahari pia! Hivyo ni sawa tu kutaka kujua jinsia yake! kwa taarifa zaid masingasinga wanachumbia wakiwa wameshajua kufanya mapenzi! na huyu binti anajifunzia mapenzi home! wanalazwa pamoja na kaka zao kama hakuna mtoto wa kiume unakua ni wajibu wa baba mzazi kumfundisha binti yake mapenziiiiiiiii! ndio binti akachumbie kwa mantiki hiyo binti wa kisingasinga hana bikra!
 
kwa nini umejiajiri halafu unataka mfanyakazi? ninavyoona huyo ni mvulana anataka msichana. Nakukaribisha kanisani kwetu Kinondoni church uje uone vimwana vinavyompenda Yesu upate upako wa kuoa.

Jamani huyo dogo alivyosema anatafuta mfanyakazi alikosea. kwani aliyejiajiri si mfanyakazi?
 
Jamani wana JF kijana mwenzenu nimechoka kuwepo kuwepo sana kwa hiyo nataka kuoa hivyo nipo kwenye mchakato wa kumpata.

Wasifu wangu

  • Umri, miaka 28
  • Urefu, futi 6.0
  • Dini, mkristu
  • Kazi, nimejiajiri
  • Kipato, cha wastani
  • Napendelea kuchat, kubadilishana mawazo, michezo, muziki na kusikiliza vyombo vya habari na kuangalia filamu za kuchekesha..

Ningependa kupata rafiki/mchumba mwenye sifa hizi japo sio lazima awe nazo zote.

  • Umri usiozidi miaka 30
  • Asiwe mfupi sana
  • Elimu isiyopungua ya sekondari
  • Awe anafanya kazi
  • Umbo la wastani
  • Sibagui rangi (race)

Mwenye sifa hizi au baadhi asisite kutuma PM au aniandikie email kwa
email address meale2005@gmail.com au tuwasiliane kwa simu no. +255 772 884226

Niwie radhi kaka kuna masuala yamenipata hivi karibuni, so niko obsessed na kipimo cha HIV a.k.a 'ngoma'. Mbona hujakiweka kwenye vigezo vyako ndugu yangu? Hilo dude linatisha ni balaa! Siku ikisogea kwenye anga zako utaelewa ninachosema.
 
mchumba hatafutwi kwa kutangazia umma. badilika bwana
 
Mvina;672199]Mkuu mbona kakueleza kuwa anataka kuoa bana au hata mademu wanaoa nn cku hizi?

Yaweza kuwa ni mhindi wa kisingasinga wao mwanamke ndiye anaeooa tena na kulipa mahari pia! Hivyo ni sawa tu kutaka kujua jinsia yake! kwa taarifa zaid masingasinga wanachumbia wakiwa wameshajua kufanya mapenzi! na huyu binti anajifunzia mapenzi home! wanalazwa pamoja na kaka zao kama hakuna mtoto wa kiume unakua ni wajibu wa baba mzazi kumfundisha binti yake mapenziiiiiiiii! ndio binti akachumbie kwa mantiki hiyo binti wa kisingasinga hana bikra![/QUOTE]

Hapa unamaanisha ukioa binti wa kisingasinga unakuwa pamoja na kaka,baba mkwe n.k?
 
Back
Top Bottom