bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
Fanya hivyo kama ulikuwa bado!
ngoja nimalizie vaccation yangu kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya hivyo kama ulikuwa bado!
kwani yeye anataka uzuri wa sura au tabia ??😉dada, hii picha ni yako? Isije ikawa haya matatizo ya kutafuta wachumba humu JF umesababisha wewe!!
kwani yeye anataka uzuri wa sura au tabia ??😉
hiyo hips hapo kwenye avatar si unaona inavyoita? jamani mi nafikiri vyote hasa sura!yaani nimekungongea Thanks!!
ujapata tuu mchumba bado tujulishe na ss tunaataka kutafuta humu
lakini huyu jamaa kweli mchumba atampatia hapa JF ..ina maana hana confidence za kuwaface hapo mtaani kwao,kazini,kijijini ,manesi kibao ,maticha ndo usiseme,,maafande wa UWTZ wamejaa tele ..
lakini huyu jamaa kweli mchumba atampatia hapa JF ..ina maana hana confidence za kuwaface hapo mtaani kwao,kazini,kijijini ,manesi kibao ,maticha ndo usiseme,,maafande wa UWTZ wamejaa tele ..
Jamani wana JF kijana mwenzenu nimechoka kuwepo kuwepo sana kwa hiyo nataka kuoa hivyo nipo kwenye mchakato wa kumpata.
Wasifu wangu
Ningependa kupata rafiki/mchumba mwenye sifa hizi japo sio lazima awe nazo zote.
- Umri, miaka 28
- Urefu, futi 6.0
- Dini, mkristu
- Kazi, nimejiajiri
- Kipato, cha wastani
- Napendelea kuchat, kubadilishana mawazo, michezo, muziki na kusikiliza vyombo vya habari na kuangalia filamu za kuchekesha..
Mwenye sifa hizi au baadhi asisite kutuma PM au aniandikie email kwa
- Umri usiozidi miaka 30
- Asiwe mfupi sana
- Elimu isiyopungua ya sekondari
- Awe anafanya kazi
- Umbo la wastani
- Sibagui rangi (race)
email address meale2005@gmail.com au tuwasiliane kwa simu no. +255 772 884226
Dah watu wapo ki maslai zaidi!! Dunia inabadilika si mchezo!!mi pia natafuta mchumba,but first nataka kujua kipato chako like not less than sh ngapi,mko wangapi kwenye familia,elimu yako etc,as long as umeamua kutafuta mchumba hapa basi pia toa maelezo hayo hapa
Dah watu wapo ki maslai zaidi!! Dunia inabadilika si mchezo!!
Yeah I undestand but the answers will lead you to make decision uh? So I guess nowadays people "Love by Mind" not "Love by heart"not kimaslai dia,dnt quote me wrng,mm nataka kujua hpe na wengine wengi pia wanata kujua pia yy si kaamua kutafuta hapa so anatakiwa kujibu hapa but kama tungekutana barabarani tungeongea chumbani,awe muwazi zaidi
Yeah I undestand but the answers will lead you to make decision uh? So I guess nowadays people "Love by Mind" not "Love by heart"
And you do believe that Love still exists? May be, but not the so called ''love from the bottom of my heart''....Because most people these days don't have bottoms in their hearts!! 🙂
very true due to many hearts break so there is no love nad trust as those days way back
When you say "Most" what does that mean? so in you statement you and I still believe that love still exist!!And you do believe that Love still exists? May be, but not the so called ''love from the bottom of my heart''....Because most people these days don't have bottoms in their hearts!! 🙂
When you say "Most" what does that mean? so in you statement you and I still believe that love still exist!!