aisee!!!, kwa umri wako kama hata girl friend hujawahi kuwa naye, basi nikushauri usubiri, utaoa mbinguni si lazima uoe duniani, may be mkeo ashatangulia mbele za haki fanya hima kumfata, vinginevyo utavamia wake za watu, mfano Pretty na Firstlady1 UISHIE KUFUNGWA, UARABUNI UTANYONGWA, TAKE CARE
umewasiliana na dada dorin?
Nashukuru nimempata rafiki ambaye Mungu akijaalia anaweza kuwa mchumba na baadaye mke. Asanteni wana JF, pia asante kwa walioni-PM, kupiga simu au text msg, walioniandikia e-mail na kutuma post zao. Samahani kwa wale ambao nimeona hatuna chemistry. God bless you all.
The Boss mbona thread za mapenzi unazipenda sana si wewe umeanzisha kule tena au,ile ya faida za kufanya mapenzi au??
wewe shogeri nini.....nawas was
Jaribu hapa kaka, unaweza kubahatika, http://www.marafiki.com
Ukishindwa hapo jaribukujichanganya sometimes, Jolls Club au Billcanas... you never know!
hongera kamanda.....!nasubiri kadi.....!Nashukuru nimempata rafiki ambaye Mungu akijaalia anaweza kuwa mchumba na baadaye mke. Asanteni wana JF, pia asante kwa walioni-PM, kupiga simu au text msg, walioniandikia e-mail na kutuma post zao. Samahani kwa wale ambao nimeona hatuna chemistry. God bless you all.