Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Wee uridhiki...kwaio sisi wa mikoani ๐ซ๐ซnajua kulima lakin nna hekta 10 za viaz na mahindi
Unataka watu wakupe figo au
๐๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee uridhiki...kwaio sisi wa mikoani ๐ซ๐ซnajua kulima lakin nna hekta 10 za viaz na mahindi
Hawa Ngedere tukiwa kwenye Financial Jam hawatu bail out,huwezi kumtegemea Girlfriend au mke ukikwama,,tujifunze kuwakazia..I'm Going DutchSafi
Afu hii agenda sijui kwanini hatuipitishi kwenye vile vikao vyetu....
Heshima bila pesa, mwanaume anahitaji Pesa,upendo na heshima mambo madogo hayo,yatajisetimwanaume anahitaji heshima
Subiri kwanza,mimi nitaleta uzi wa kumtafuta mkulima ili tuchanganye na zangu tuwe na heka 20,kwaio sisi wa mikoani ๐ซ๐ซnajua kulima lakin nna hekta 10 za viaz na mahindi
Hata mi naona.Hawa wengi wao wanachangamsha jukwaa, wanatafuta watu wa kuchit chat
Faida mojawapo ya kuanzisha uzi ni unapata watu wa kuchat nao muda huo
Acha tuchit chat nae upweke umtoke
wewe mkulima mwenzangu nifate...hutakiwi hukukwaio sisi wa mikoani ๐ซ๐ซnajua kulima lakin nna hekta 10 za viaz na mahindi
Kumtongoza mtu kwani utakufa, si unamuambia tu. Ila domo zege kazi sana.kutongoza live siyo jambo jepesi. Mitandao imekuwa msaada kwa domo zege!
Mwanaume kujiamini, we unaogoaje mwanamke..Yaaah ni possible hayo yote unayo waza mtaani kuna mengi..
Kuna watu hata kusimamisha mdada ni ngumu...
Na huko kwa starehe bado hatuwezi pia
Jamani ndugu yangu umenichoka,huyu bado damu mbichi nitamuwezea wapi Mimi?we uwe unaniita Kwa mizee yaani wale waliochoka Figo na Moyo๐
๐๐๐คฃ๐๐๐๐๐๐๐พ๐๐พSubiri kwanza,mimi nitaleta uzi wa kumtafuta mkulima ili tuchanganye na zangu tuwe na heka 20,
Mimi nina heka 10 za Bamia.
ur wish is my commandwewe mkulima mwenzangu nifate...hutakiwi huku
unaona baada ya kuacha mashangazi umeanza kua na akili.Yaaah ni possible hayo yote unayo waza mtaani kuna mengi..
Kuna watu hata kusimamisha mdada ni ngumu...
Na huko kwa starehe bado hatuwezi pia
Mazingira ndio yanaamua mke wakuwa Kama unashindana mtandaoni masaa mengi sio rahisi kupata mwanamke mtaani anayefaaHuwa nashangaa mtu kutafuta mke au mchumba mitandaoni nachojiuliza kuanzia kazini, mtaani,barabarani au hata sehemu za starehe kama ni muhudhuriaji wenza wanakosekana, au kuna kitu hakipo sawa?
Slay queen ndiyo malikia wa aina gani mkuu?Mimi ni mwanaume natafuta mchumba awe anaishi dar
Umri 20-35.
Umri wangu 32.
Asiwe slay queen.
Ajue thamani ya mwanaume
Mwanamke serious anifate inbox aache kuchat chat hapa.
ili mwaka ndoa mwaka msiba unapata zako urithiJamani ndugu yangu umenichoka,huyu bado damu mbichi nitamuwezea wapi Mimi?we uwe unaniita Kwa mizee yaani wale waliochoka Figo na Moyo๐
Duh nimekosa mume je sisi wenye 40 hatufai au hutaki mashangazi ๐คMimi ni mwanaume natafuta mchumba awe anaishi dar
Umri 20-35.
Umri wangu 32.
Asiwe slay queen.
Ajue thamani ya mwanaume
Mwanamke serious anifate inbox aache kuchat chat hapa.
Ni sisi wachumba zenu ndio mnatuita ngedere?๐ฅน๐ฅน Nimelia sanaHawa Ngedere tukiwa kwenye Financial Jam hawatu bail out,huwezi kumtegemea Girlfriend au mke ukikwama,,tujifunze kuwakazia..I'm Going Dutch
Haha dear hao wengine ndio Ngedere,wewe mtu poa,wewe ni Tumbili,Tumbili Hana mambo mengiNi sisi wachumba zenu ndio mnatuita ngedere?๐ฅน๐ฅน Nimelia sana