Natafuta mchumba.!b-)

Natafuta mchumba.!b-)

mmmh wenzio wanatafuta mke au mume we watafuta mchumba! ila umepotea njia si uende kule MMU?mmh ama kweli dunia ina mamboooo!!!
asa mke si lazima awe mchumba kwanza au....
 
Evelyn Salt usimkatishe tamaa mwenzio ...jamaaa yuko serious .....
 
Last edited by a moderator:
asa mke si lazima awe mchumba kwanza au....

labda wale wanaoozeshwa au wale wanaotafutiwa wake, unafika home unakuta mzigo unachukua...ila ktka process za kupata mke kuna urafiki+uchumba+ndoa
 
wewe kama unatafuta mwanamke huku tafadhali nenda face book na siyo huku.
 
labda wale wanaoozeshwa au wale wanaotafutiwa wake, unafika home unakuta mzigo unachukua...ila ktka process za kupata mke kuna urafiki+uchumba+ndoa
sawaaa...jamaa ndo anatafuta mchumba ambaye baadaye atakuwa mke
 
Sasa huku utatafuta nini wewe
Nenda MMU kule wapo wa kumwaga, huku watu wanatafuta kazi

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,ni mzaliwa wa moro town,nafanya kazi iringa mjini,natafuta mchumba mwenye sifa kama hizi:mcheshi,mrefu wastani,mwenye busara na kujua umuhimu wangu,unaweza kunitumia majibu kupia email hii yafacebook godfreymkolokoti@yahoo.com or twiter gmkolokoti@yahoo.com.
 
  • Thanks
Reactions: KPS
Humu si sehemu ya wachumba dogo, kwa ushauri pia mchumba hapatikani kwenye mtandao, atakudanganya tuuu.
 
Umeshindwa kuwapata mabinti wa huko mbona wapo wengi tu. Au mzito kuapproach. Vyuoni na mitaani wapo mabinti kibao.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,ni mzaliwa wa moro town,nafanya kazi iringa mjini,natafuta mchumba mwenye sifa kama hizi:mcheshi,mrefu wastani,mwenye busara na kujua umuhimu wangu,unaweza kunitumia majibu kupia email hii yafacebook godfreymkolokoti@yahoo.com or twiter gmkolokoti@yahoo.com.

Haha email za facebook na twitter domain/accounts za yahoo.. Kazi ni kwako.
 
umepotea njia pitia mlangoni usipite dirishani
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,ni mzaliwa wa moro town,nafanya kazi iringa mjini,natafuta mchumba mwenye sifa kama hizi:mcheshi,mrefu wastani,mwenye busara na kujua umuhimu wangu,unaweza kunitumia majibu kupia email hii yafacebook godfreymkolokoti@yahoo.com or twiter gmkolokoti@yahoo.com.
Mzima wewe! Mchumba au Mke hatafutwi kwenye mtandao, atakuzingua tu, mnaweza mkakubaliana kabla hamjaonana siku mkionana au kuoana mkaja kugundua mapungufu ambayo utashindwa kuyavumilia. Nakushauri, jaribu kujichanganya sehem mbalimbali kama kwenye michozo unaweza ukapata mchumba/mke mzuri tu kwa kumuona ana kwa ana.
 
Toa utoto wako hapa
QUOTE=Mkolokotiatanas;5830261]Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,ni mzaliwa wa moro town,nafanya kazi iringa mjini,natafuta mchumba mwenye sifa kama hizi:mcheshi,mrefu wastani,mwenye busara na kujua umuhimu wangu,unaweza kunitumia majibu kupia email hii yafacebook godfreymkolokoti@yahoo.com or twiter gmkolokoti@yahoo.com.[/QUOTE]
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,ni mzaliwa wa moro town,nafanya kazi iringa mjini,natafuta mchumba mwenye sifa kama hizi:mcheshi,mrefu wastani,mwenye busara na kujua umuhimu wangu,unaweza kunitumia majibu kupia email hii yafacebook godfreymkolokoti@yahoo.com or twiter gmkolokoti@yahoo.com.

Acha ukilaza wewe..kwanza soma title ya jukwaa ndo upost hoja yako...peleka jukwaa ya mapenz na mahusiano
 
Back
Top Bottom