Natafuta mchumba.!b-)

Natafuta mchumba.!b-)

Watu tuna stress za maisha ww unatuletea mambo yako!!!!! hii ni sehem ya kutafuta kazi sio mchumba umepotea dogo.... kweli kuna watu wengine ni vilaza.
 
Ww umepoteza direction kabisa!!!! Kwani ulikokuwa unasoma ulikuwa ''kaka sayuni'' hadi ukamaliza?
 
wewe kina mkolokoti? Nimesoma nao (1 tu)...ni mpogoro wewe???? Nakutakia upate mchumba mwema
 
Back
Top Bottom