asa mke si lazima awe mchumba kwanza au....mmmh wenzio wanatafuta mke au mume we watafuta mchumba! ila umepotea njia si uende kule MMU?mmh ama kweli dunia ina mamboooo!!!
Evelyn Salt usimkatishe tamaa mwenzio ...jamaaa yuko serious .....
asa mke si lazima awe mchumba kwanza au....
sawaaa...jamaa ndo anatafuta mchumba ambaye baadaye atakuwa mkelabda wale wanaoozeshwa au wale wanaotafutiwa wake, unafika home unakuta mzigo unachukua...ila ktka process za kupata mke kuna urafiki+uchumba+ndoa
kuweni na huruma jamani......jamaa hataniii..........apishe hapa!!!!!!!!!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,ni mzaliwa wa moro town,nafanya kazi iringa mjini,natafuta mchumba mwenye sifa kama hizi:mcheshi,mrefu wastani,mwenye busara na kujua umuhimu wangu,unaweza kunitumia majibu kupia email hii yafacebook godfreymkolokoti@yahoo.com or twiter gmkolokoti@yahoo.com.
Kule nimeona nafasi zimejaaaa!..nimeprepare bonge la rewardz,4this current insue..
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,ni mzaliwa wa moro town,nafanya kazi iringa mjini,natafuta mchumba mwenye sifa kama hizi:mcheshi,mrefu wastani,mwenye busara na kujua umuhimu wangu,unaweza kunitumia majibu kupia email hii yafacebook godfreymkolokoti@yahoo.com or twiter gmkolokoti@yahoo.com.
Kule nimeona nafasi zimejaaaa!..nimeprepare bonge la rewardz,4this current insue..
Mzima wewe! Mchumba au Mke hatafutwi kwenye mtandao, atakuzingua tu, mnaweza mkakubaliana kabla hamjaonana siku mkionana au kuoana mkaja kugundua mapungufu ambayo utashindwa kuyavumilia. Nakushauri, jaribu kujichanganya sehem mbalimbali kama kwenye michozo unaweza ukapata mchumba/mke mzuri tu kwa kumuona ana kwa ana.Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,ni mzaliwa wa moro town,nafanya kazi iringa mjini,natafuta mchumba mwenye sifa kama hizi:mcheshi,mrefu wastani,mwenye busara na kujua umuhimu wangu,unaweza kunitumia majibu kupia email hii yafacebook godfreymkolokoti@yahoo.com or twiter gmkolokoti@yahoo.com.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,ni mzaliwa wa moro town,nafanya kazi iringa mjini,natafuta mchumba mwenye sifa kama hizi:mcheshi,mrefu wastani,mwenye busara na kujua umuhimu wangu,unaweza kunitumia majibu kupia email hii yafacebook godfreymkolokoti@yahoo.com or twiter gmkolokoti@yahoo.com.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,ni mzaliwa wa moro town,nafanya kazi iringa mjini,natafuta mchumba mwenye sifa kama hizi:mcheshi,mrefu wastani,mwenye busara na kujua umuhimu wangu,unaweza kunitumia majibu kupia email hii yafacebook godfreymkolokoti@yahoo.com or twiter gmkolokoti@yahoo.com.