Natafuta mchumba.!b-)

Watu tuna stress za maisha ww unatuletea mambo yako!!!!! hii ni sehem ya kutafuta kazi sio mchumba umepotea dogo.... kweli kuna watu wengine ni vilaza.
 
hili ndio jukwaa lake?hebu peleka MMU kule utapata
 
Ww umepoteza direction kabisa!!!! Kwani ulikokuwa unasoma ulikuwa ''kaka sayuni'' hadi ukamaliza?
 
wewe kina mkolokoti? Nimesoma nao (1 tu)...ni mpogoro wewe???? Nakutakia upate mchumba mwema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…