soma kwanza mdog wanguHabari za wakati huu.... nahitaj mchumba miaka 23-27 awe mweusi dini yoyote
umri wang 22 ,mwanafunz wa degree
πππ waacheni watoto watafute wapenzi waoe.Hayo ni mangosha mtoto wa mini hafanyi huu ujinga
πππ hao wanawake si nasikia wanapendaga ready madeKashapata huyoπππΎ
Wanawake wa mjini akiangalia tu picha kashapiga counter-attack kifikra, anaona wazi huyu daktari ajaye baada ya miaka kadhaa. Si haba mambo yatakuwa muswano.
Usijali dogo janja... wanakuja
Wenye subra wapo ππππ hao wanawake si nasikia wanapendaga ready made
Huyo yupo insecured ndio maana katanguliza neno mwanafunzi wa degree ..hajiaminπππ waacheni watoto watafute wapenzi waoe.
Kaweka wazi kwamba kazi hana ila kamwangaza anako... atakayeishobokea nafasi akawe mvumilivu. Mambo mazuri yanakuja, atakuja kuwa mtamu kama kisheti mbeleni.Huyo yupo insecured ndio maana katanguliza neno mwanafunzi wa degree ..hajiamin
Na hapo atapata mpenzi anaeipenda degree yake na sio yeye
Sasa degree na mke inahusikaje
Ili badae mkipata muanze kutumia na msiochuma naoWenye subra wapo π
ππHuyo yupo insecured ndio maana katanguliza neno mwanafunzi wa degree ..hajiamin
Na hapo atapata mpenzi anaeipenda degree yake na sio yeye
Sasa degree na mke inahusikaje
Sio wanaume wote wako hivyo DADA, kuna wanaume wako loyal na wanajua maana ya commitment!Ili badae mkipata muanze kutumia na msiochuma nao
Sifa ya kwanza ya mchumba inatakiwa akupende ww km ww ndio vitu km material possession, status n.k view extra addedKaweka wazi kwamba kazi hana ila kamwangaza anako... atakayeishobokea nafasi akawe mvumilivu. Mambo mazuri yanakuja, atakuja kuwa mtamu kama kisheti mbeleni.
Hivi ndo nilivoelewa. Niko tayari kukosolewa
Hapo vipi To yeyeHabari za wakati huu,
Nahitaji mchumba miaka 23-27, awe mweusi, dini yoyote.
Umri wangu ni miaka 22, mwanafunzi wa Degree.
Ndoa ni.jambo Jema kwa watu smart upstairs ,lkn ndoa ni jambo jema ata dini zenu zinafundsha ivo