Natafuta mchumba badae awe mme,na mungu akibariki tufunge ndoa kanisani

mimi0

Member
Joined
Apr 29, 2017
Posts
10
Reaction score
11
Natafuta mchumba badae awe mme,na mungu akibariki tufunge ndoa kanisani, sifa awe mkatoliki,yaani Romani Catholic, asiwe na mtoto, asiwe aliwahi kuoa, awe na miaka 32 na kuendelea, anayejiheshim na kujitambua nafasi yake(sio sharobaro) mwenye hofu ya mungu,na anayetambua maana ya familia, aliye serious na utayari aje PM, naomba usije kunidhihaki au kujaribu tafadhali niko seriousMungu awabariki sn
 
Usijali utampata...ila punguza vigezo basi
 
Asante saana ndugu kwa kutuombea ubarikio kwa bwana.

Nami nisiwe mnyimi wa fadhila nikutakie la kher upate mme wa hitaji la moyo wako. Akujaze furaha mpaka uhisi upo peponi. Akujaze mapene yasiyo haba na penzi kinda kinda lililojawa papatio kama lile la jogoo na mtetea. Asante.
 
Watakuja ila huo umri wa kuanzia miaka 32 alafu asiwe na mtoto mmmh omba mungu asee
 
Mh
 
Mungu akusaidie kwenye hitaji lako ila naona ungesema tu mwanaume mkristo kuliko awe n Roman Catholic

umri ukishaenda msiweke masharti mengi jamaan mnawakimbiza wanaume
Ni kweli, vigezo vikiwa vingi wenye sifa wanapungua.
Kwa nn wanaohitaji waume ni wengi Kuliko wanaohitaji wake? Reasons please......
 
Kaka Daby Shikamo
 
Ni kweli, vigezo vikiwa vingi wenye sifa wanapungua.
Kwa nn wanaohitaji waume ni wengi Kuliko wanaohitaji wake? Reasons please......
sbbu sisi wanawake tupo wengi kuliko nyie
mpk kuja kutafuta mume mtandaoni ushafika 30 na kuendelea masharti ya nn wanakosea sana kikubwa kingekua tu ni dini yako bas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…