Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Shikamoo kamanda naona tunaenda sambambaKaka Daby Shikamo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shikamoo kamanda naona tunaenda sambambaKaka Daby Shikamo
Mamdogo hiyo sala nampa siku mbili tu maombi yatakuwa yamejibiwabamdogo si kwa sala uliyomtolea mleta mada
HhahahhaaaaaaaaAsante saana ndugu kwa kutuombea ubarikio kwa bwana.
Nami nisiwe mnyimi wa fadhila nikutakie la kher upate mme wa hitaji la moyo wako. Akujaze furaha mpaka uhisi upo peponi. Akujaze mapene yasiyo haba na penzi kinda kinda lililojawa papatio kama lile la jogoo na mtetea. Asante.
Hahaha!!Shikamoo kamanda naona tunaenda sambamba
Shunie mambosbbu sisi wanawake tupo wengi kuliko nyie
mpk kuja kutafuta mume mtandaoni ushafika 30 na kuendelea masharti ya nn wanakosea sana kikubwa kingekua tu ni dini yako bas
Walio serious hawatafuti waume kwenye mitandao afu unaweka masharti utadhan ubalozi Wa US ukiendelea hivyo sahau kuolewaNatafuta mchumba badae awe mme,na mungu akibariki tufunge ndoa kanisani, sifa awe mkatoliki,yaani Romani Catholic, asiwe na mtoto, asiwe aliwahi kuoa, awe na miaka 32 na kuendelea, anayejiheshim na kujitambua nafasi yake(sio sharobaro) mwenye hofu ya mungu,na anayetambua maana ya familia, aliye serious na utayari aje PM, naomba usije kunidhihaki au kujaribu tafadhali niko seriousMungu awabariki sn
Aiseeh mambo yanaenda.. naomba tu uchangamkie fursa adimuHahaha!!
Daby wewe ni mkubwa kwangu plz itikia salamu yangu bhana.
Anyway!! Mambo vipi mkuu
fursa adimu ya huyo mdada mtafuta mme?Aiseeh mambo yanaenda.. naomba tu uchangamkie fursa adimu
poa Ely za wwShunie mambo
HahahhhhMmmmm washakimbia utawa
Za mimi poa sana tu Shuniepoa Ely za ww
nipo na bamdogo angu kiboko yaoZa mimi poa sana tu Shunie
Nakuona upo na bamdogo wako Daby
Specifications zako nime overqualifiedNatafuta mchumba badae awe mme,na mungu akibariki tufunge ndoa kanisani, sifa awe mkatoliki,yaani Romani Catholic, asiwe na mtoto, asiwe aliwahi kuoa, awe na miaka 32 na kuendelea, anayejiheshim na kujitambua nafasi yake(sio sharobaro) mwenye hofu ya mungu,na anayetambua maana ya familia, aliye serious na utayari aje PM, naomba usije kunidhihaki au kujaribu tafadhali niko seriousMungu awabariki sn
Yani shunie banah ni mtu wa point tu wewe,nakupenda bure shemeji yangu msalimie lee empire mwambie akutunze sana bado tunakuhitaji sanaMungu akusaidie kwenye hitaji lako ila naona ungesema tu mwanaume mkristo kuliko awe n Roman Catholic
umri ukishaenda msiweke masharti mengi jamaan mnawakimbiza wanaume
Una gonga point safi tumsifu yesu kristo muumini wangusbbu sisi wanawake tupo wengi kuliko nyie
mpk kuja kutafuta mume mtandaoni ushafika 30 na kuendelea masharti ya nn wanakosea sana kikubwa kingekua tu ni dini yako bas