Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo uchukue huyu wangu😀Natafuta mchumba badae awe mme,na mungu akibariki tufunge ndoa kanisani, sifa awe mkatoliki,yaani Romani Catholic, asiwe na mtoto, asiwe aliwahi kuoa, awe na miaka 32 na kuendelea, anayejiheshim na kujitambua nafasi yake(sio sharobaro) mwenye hofu ya mungu,na anayetambua maana ya familia, aliye serious na utayari aje PM, naomba usije kunidhihaki au kujaribu tafadhali niko seriousMungu awabariki sn
nakupenda pia baba paroko, salam zimefika kwa lee hahhahah eti anitunze sana bado mnanihitaji baba paroko wwYani shunie banah ni mtu wa point tu wewe,nakupenda bure shemeji yangu msalimie lee empire mwambie akutunze sana bado tunakuhitaji sana
milele amina baba paroko [emoji120]Una gonga point safi tumsifu yesu kristo muumini wangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] baba paroko on pointnakupenda pia baba paroko, salam zimefika kwa lee hahhahah eti anitunze sana bado mnanihitaji baba paroko ww
Hahahh kwahiyo asiponitunza inakuaje baba paroko[emoji23] [emoji23] [emoji23] baba paroko on point
Asipokutunza basi atakua ametupotezea ngao jf,tena asijaribu hata kuinua mkono kukutisha anakishusha[emoji23] [emoji23]Hahahh kwahiyo asiponitunza inakuaje baba paroko
Ugumu wa masharti ni ili achuje watu kama nyieMasharti magumu hayo
[emoji23][emoji23][emoji23] si kwa yule haogopi vitishoAsipokutunza basi atakua ametupotezea ngao jf,tena asijaribu hata kuinua mkono kukutisha anakishusha[emoji23] [emoji23]
Dada Mume wa mtandaoni utamuweza?Natafuta mchumba badae awe mme,na mungu akibariki tufunge ndoa kanisani, sifa awe mkatoliki,yaani Romani Catholic, asiwe na mtoto, asiwe aliwahi kuoa, awe na miaka 32 na kuendelea, anayejiheshim na kujitambua nafasi yake(sio sharobaro) mwenye hofu ya mungu,na anayetambua maana ya familia, aliye serious na utayari aje PM, naomba usije kunidhihaki au kujaribu tafadhali niko seriousMungu awabariki sn
Mi nadhani angepata penzi kama la beberu na mbuzi mee.... Au unadhani yeye hapendi kunuswa papuchi??Asante saana ndugu kwa kutuombea ubarikio kwa bwana.
Nami nisiwe mnyimi wa fadhila nikutakie la kher upate mme wa hitaji la moyo wako. Akujaze furaha mpaka uhisi upo peponi. Akujaze mapene yasiyo haba na penzi kinda kinda lililojawa papatio kama lile la jogoo na mtetea. Asante.
Hewaala. Penye wazee hapakosi busaraMi nadhani angepata penzi kama la beberu na mbuzi mee.... Au unadhani yeye hapendi kunuswa papuchi??