Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Je itakuwa vipi kama tusipobarikiwa?Natafuta mchumba badae awe mme,na mungu akibariki tufunge ndoa kanisani, sifa awe mkatoliki,yaani Romani Catholic, asiwe na mtoto, asiwe aliwahi kuoa, awe na miaka 32 na kuendelea, anayejiheshim na kujitambua nafasi yake(sio sharobaro) mwenye hofu ya mungu,na anayetambua maana ya familia, aliye serious na utayari aje PM, naomba usije kunidhihaki au kujaribu tafadhali niko seriousMungu awabariki sn
w kila siku nikuwatakia wenzako baraka lin utavuta jiko babAsante saana ndugu kwa kutuombea ubarikio kwa bwana.
Nami nisiwe mnyimi wa fadhila nikutakie la kher upate mme wa hitaji la moyo wako. Akujaze furaha mpaka uhisi upo peponi. Akujaze mapene yasiyo haba na penzi kinda kinda lililojawa papatio kama lile la jogoo na mtetea. Asante.
Msaidie tu kumuelekeza mahala waume wanapotafutiwa, au wanapopatikana huenda hilo litamsaida badala ya kumsimanga!!Walio serious hawatafuti waume kwenye mitandao afu unaweka masharti utadhan ubalozi Wa US ukiendelea hivyo sahau kuolewa
Aje pm nimuonyeshe Mme boraMsaidie tu kumuelekeza mahala waume wanapotafutiwa, au wanapopatikana huenda hilo litamsaida badala ya kumsimanga!!
Acha kumbwela mbwela mkuu, sasa akija PM na ukamuonyesha mume bora atakuwa hajatumia mtandao hapo kumpata Huyo mume?Aje pm nimuonyeshe Mme bora
Uncle we ni mtataAsante saana ndugu kwa kutuombea ubarikio kwa bwana.
Nami nisiwe mnyimi wa fadhila nikutakie la kher upate mme wa hitaji la moyo wako. Akujaze furaha mpaka uhisi upo peponi. Akujaze mapene yasiyo haba na penzi kinda kinda lililojawa papatio kama lile la jogoo na mtetea. Asante.
Atakuwa amenitumia MimiAcha kumbwela mbwela mkuu, sasa akija PM na ukamuonyesha mume bora atakuwa hajatumia mtandao hapo kumpata Huyo mume?
Inaonesha wanaume ametuona tuna njaa sana na Mke sijui!!!!! Hajui sisi ndiyo tuna vigezo vingi kuliko vyake ??Mbona wewe hujataja sifa zako ukoje??
Kwanini mkuu?sikukatishi tamaaa ila upati mume umu..
[emoji121]nina miaka 27 bado miaka 5 ndo ifke 32 namalizia degree ya dev plnnng vp kuna matumainiii[emoji85]Watakuja ila huo umri wa kuanzia miaka 32 alafu asiwe na mtoto mmmh omba mungu asee
Asante saana ndugu kwa kutuombea ubarikio kwa bwana.
Nami nisiwe mnyimi wa fadhila nikutakie la kher upate mme wa hitaji la moyo wako. Akujaze furaha mpaka uhisi upo peponi. Akujaze mapene yasiyo haba na penzi kinda kinda lililojawa papatio kama lile la jogoo na mtetea. Asante.