Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bikra ya mbele, nyuma? Kama unatafta ya mbele hesabu maumivu!Mambo vp? Hapa nilipo nipo Single ..nina miaka 25yrs natafuta mchumba wa kuoa.
Huyo bibie nataka awe na miaka 19-23...awe na sura nzuri...awe mkristo...Naahidi kukuoa kwa ndoa ya Kanisani endapo kweli nitathibitisha uko na Bikra yako...Mimi natoka Kahama-Shinyanga
0765 626 871
Ahsanteh kwa ushauri wakoKwa umri wako na ndoa ya kikristo nakusihi tulia kwanza ufike 30yrs ndo unaweza kuoa binti wa umri huo na ukaweza kumvumilia masambasoti yake mana ww utakuwa ushaona mengi na busara ishaanza kujengeka kwako la sivyo owa wa umri wako tafadhari.
Ndoa zinazodumu kwa uhakika mkubwa ni tofauti ya miaka 7 hadi 10 kwa wanandoa.
Akatafute kweny hodi ya wazaziBikra?? [emoji3][emoji3][emoji3] acha utani bana. Unampata wapi miaka hii