Natafuta mchumba(future husband)

Status
Not open for further replies.

Mspeasant

Member
Joined
Oct 10, 2013
Posts
54
Reaction score
50
Habari,

Mimi ni mwanamke wa kitanzania.

Wasifu wangu:_

Mkristu-RC(Mcha Mungu)

Self Employed(kipato cha kati,nayamudu maisha yangu)

wasifu wa mchumba mtarajiwa

-Mcha Mungu
-Umri 27-36 yrs ol
-Awe ameelimika(intellect)
-Open minded
*****uzi umefungwa msije PM.*****
 
Kwenye HIV hapo mbn wewe haujaweka status yako,jizi tu na wewe,afu unaonekana una amri,umri umekupanikisha..mkiwaga below 30 mna mbwembwe sana,dah asante MUNGU kwa kunileta mwanaume hapa duniani.
 
Kigezo cha umri kimenikosesha mke ,OK nakutakia upate mume bora.
 
Umbo la kiafrica 6/8 ndio lipoje? ebu weka kapicha kachaofanana na hilo umbo.
 
Kwani huko chuo hukuona wasomi wenzio mpaka uje kituambia unatafuta msomi

Mme sio elimu wala Mali

Mme ni yule anae kidhi vigezo vya kuwa Mme sio alie na elimu na mali
 
Kwenye HIV hapo mbn wewe haujaweka status yako,jizi tu na wewe,afu unaonekana una amri,umri umekupanikisha..mkiwaga below 30 mna mbwembwe sana,dah asante MUNGU kwa kunileta mwanaume hapa duniani.
okay,God bless you!
 
Kwenye HIV hapo mbn wewe haujaweka status yako,jizi tu na wewe,afu unaonekana una amri,umri umekupanikisha..mkiwaga below 30 mna mbwembwe sana,dah asante MUNGU kwa kunileta mwanaume hapa duniani.
Na itakua tipwa tipwa huyu.
 
UMESAHAU kua awe na Nguvu za kiume. anaweza kuwa na yote kumbe hasimamishi mpaka apewe bosster na betri la meli au ana kidole cha mwisho cha mguu
akija PM tutaelezana hilo,ahsante.Barikiwa.
 
Kigezo cha kua na Furaha kimeni disqualify maskini ya Mung....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…