Mkemia kay
Senior Member
- Jan 25, 2020
- 131
- 135
- Thread starter
- #41
shukrani mkuuEndelea tu na Puli mkuu,bagamoyo umekosa wakati ndio Kuna totoz za pwani?Huku Jf unajitekenya na kucheka mwenyewe bwashee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shukrani mkuuEndelea tu na Puli mkuu,bagamoyo umekosa wakati ndio Kuna totoz za pwani?Huku Jf unajitekenya na kucheka mwenyewe bwashee
akiwa na kitu anafanya means ana ufahamu so anaweza manage mambo yetu mengineHawa ndio wanapenda sana kila kitu half by half ndio mana anadai uwe nakitu unafanya
Kama heading inavyosema mimi ni mwanume aged 30 ni mwembamba mrefu na mweusi nimeajiriwa private company.
Ninatafuta mwanamke aged 20 mpaka 35 awe na kazi au biashara nipo bagamoyo serious one hit my pm
NB serious relationship kuelekea ndoa
Humu wa kuelekea ndoa hamna ila wa kuelekea vibunda mkuu ni fasta usiseme sikukufahamishaKama heading inavyosema mimi ni mwanume aged 30 ni mwembamba mrefu na mweusi nimeajiriwa private company.
Ninatafuta mwanamke aged 20 mpaka 35 awe na kazi au biashara nipo bagamoyo serious one hit my pm
NB serious relationship kuelekea ndoa
Siku zote najua ww ni mwanaume🤔Kama nilivyokwambia, huu mwaka hauishi sijavaa shera💃💃
Nikitumia hiyohiyo mistari plus na kamuhamala cha m-pesa itabaki hiohio forty percent?Ee ndyo... bado sijashawishika😃😃
Hivi kwasasa kuna mdada atakua kakaa tu,yaani hajaajiriwa wala kujiajiri kivyovyote vile,mbona atahisiwa vibaya?Hawa ndio wanapenda sana kila kitu half by half ndio mana anadai uwe nakitu unafanya
Ooh jamani.. ni mwanamke kipenzi 😊Siku zote najua ww ni mwanaume🤔
Hapo utapata zoooote😊😊🤗Nikitumia hiyohiyo mistari plus na kamuhamala cha m-pesa itabaki hiohio forty percent?
Leejay49 unaonaje huyo jamaa tukimpindua.[emoji848][emoji848][emoji848]Hapo utapata zoooote[emoji4][emoji4][emoji847]
Kuna ubaya gani? Si ndio haki sawa mnayoililia?Hawa ndio wanapenda sana kila kitu half by half ndio mana anadai uwe nakitu unafanya
Mapinduzi ruksa?!! Freedom fighters kupindua serikali ni ushujaa!!!Lishatekwa kitambo sana
Pole tatizo jinaOoh jamani.. ni mwanamke kipenzi 😊
Kama nilivyokwambia, huu mwaka hauishi sijavaa shera💃💃
Good luckKama heading inavyosema mimi ni mwanume aged 30 ni mwembamba mrefu na mweusi nimeajiriwa private company.
Ninatafuta mwanamke aged 20 mpaka 35 awe na kazi au biashara nipo bagamoyo serious one hit my pm
NB serious relationship kuelekea ndoa
Weka dau lako na wewe nione😃😃,, halafu uchane na mistari nikusikilizeLeejay49 unaonaje huyo jamaa tukimpindua.[emoji848][emoji848][emoji848]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
YeahUpepo wa Pesa💰
Sabuni ya Roho