victor mkubwa
Member
- Feb 21, 2019
- 8
- 5
Walishakufaga kwenye vita ya pili ya dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshasema awe anamkubali jiwe kindakindakiUmesahau kusema "Awe CCM"
[emoji3][emoji3][emoji3],.........usikate tamaa mapema hivyo, unapaswa kutuelewa wanaume wengi haya masharti na vigezo ni dhana za kufikirika tu.Duuh
Basi tutabaki single mkuu
Sio lazima awe CCMUmesahau kusema "Awe CCM"
Halina umuhimu daladala zipo nyingi TU nauli 500..kwanini tuwe na gari wakati usafiri wa popote tutapata?"ajue kabisa mimi Sina mpango wa kununua gari maisha mwangu".
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Hapana nikishakuwa naye Nita ji upgrade siwezi kukaa na mwanamke chumba kimoja itatubid tukae sehemu nzuri Zaid ya hiyo.Mchumba ataenda kuishi kwenye lile ghetto self contained?
Makubwa haya[emoji3][emoji3][emoji3],.........usikate tamaa mapema hivyo, unapaswa kutuelewa wanaume wengi haya masharti na vigezo ni dhana za kufikirika tu.
Urembo wako ndio funika kombe wa yote hayo. 1st impression ndio kila kitu. Au sio bro BAK
hahahahahahahahahahhahaaaaSAWA WANAKUJA!!! ILA KWA VIGEZO HIVYO MAKE SURE NA WW NI MILIONEA, HUWEZI PTA MWANAMKE ALIYEKAMILIKA HIVYO UKIWA NDEZI.
Mkuu Mimi sio milionea kihivo Nina pesa za kawaida.nyumba ya kuishi ninayo hela za chakula hazinipigi chenga mkuu..Kwani kuna kigezo gani hapo ambacho inabidi niwe tajiri?
HahahaIla wewe jamaa ile bifu yangu na wewe tuiache kwanza.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] () () () () () () () () () () () () () () () ().
Sasa hizo sifa je atapatikana?Mkuu bifu Ni ile nyama ya ngombe ....Mimi na wewe hatuna bifu Tena tulikuwa tunawekana TU sawa kipindi kile
Kuna mmoja kani PM Tatizo ana umri mkubwa kanizid miaka naneSasa hizo sifa je atapatikana?
Godoro kaweka chini na sweater za kijani kama uwanja wa taifa.Haaaa!! wewe na zero iq mnafurahisha sana , mkuu ulituma picha ya getto lako kama mradi wa kuzalisha mende na chawa na wadudu wanaotambaa , inaonekana unajikubali sana mkuu maana kwa lile getto kigezo ingebidi kuwa demu tu , maana getto kama la bibi kizee [emoji16][emoji16]
Labda aangalie seat kwa Mamayoyo1.Ameshasema awe anamkubali jiwe kindakindaki
-awe na umri chini ya miaka 24
-awe mwembamba
-awe mweusi au kama mweupe Basi ule wa asili
-awe na elimu ya chuo chochote ngazi ya cheti,diploma au degree hata Kama akiwa Hana kazi haina shida nitampa mtaji mkubwa wa kufanya biashara.
-awe mchaMungu anayeheshimu dini zote ila yeye mwenyewe asiwe mtu wa dini Sana ,pia awe na utambuzi wa Hali ya juu awe haamini Kama Kuna shetani,wala Kuna uchawi awe anajua ukweli kuhusu hizi dhana.
-awe anapenda kujifunza zaidi na hasa kusoma vitabu vya dini zote,ajue angalau history of the world na knowledge ya mambo ya afya hasa kwa kutumia vitu vya asili Kama vyakula, viungo n.k.
-ajue angalau kwa undani knowledge hizi za duniani yaani partial truth Kama vile technology, science, chemistry,physics,laws,nature na kisha ajue deep knowledge ile yenyewe secret knowledge yaani universal Truth aijue na awe tayari tujifunze naye kwa undani kuhusu habari za MUNGU
-awe anapenda kucheza tennis au volleyball yaani kila siku awe tayari kucheza na Mimi
-awe tayari kunitii chochote nitakachomwambia yaani asichoke kunisikiliza
-awe anajali Sana kitu kinachoitwa muda awe anajua umuhimu wa kufanya maandalizi mapema ya Jambo fulani.
-asiwe mtumiaji mkubwa Sana wa mitandao ya kijamii angalau awe anasoma news za kimataifa,au Kama Ni mtandao nimkute Yuko wikipedia,quora au JAMII FORUM.
-kwenye upande wa siasa awe Anamkubali DKT John pombe Magufuli.
-asiwe Ana ndoto za malengo ya kuja kuwa tajiri Sana kiufupi aridhike na maisha ya kawaida..ajue kabisa mimi Sina mpango wa kununua gari maisha mwangu.
-asiwe mtu wa kuamini Amini habari za kusikia na kusimuliwa kwa maneno.
-awe havai wigi,Wala kusuka suka marasta saloon awe na natural hair.
-asiwe na gubu awe Ni mtu mbunifu wa kuitafuta faraja yaani katika mawazo yake awe anajaribu kugundua vitu ambavyo vitatufanya tuwe na faraja
-asiwe mtu wa kusubiri matatizo yatukute Kama vile magonjwa yaani tuhakikishe tunadhibiti maradhi fulani kabla hayajatukuta kwa kuzingatia kanuni za afya,usafi,chakula, mazoezi n.k.
Kama yupo aliye serious tufanye maisha naomba Ani PM
Duuh
Basi tutabaki single mkuu
Wakija wawili.. Nipasishie mmoja