Natafuta mchumba kisha awe mke mwenye sifa zifuatazo

Natafuta mchumba kisha awe mke mwenye sifa zifuatazo

Kabisa Mkuu Mbu

[emoji3][emoji3][emoji3],.........usikate tamaa mapema hivyo, unapaswa kutuelewa wanaume wengi haya masharti na vigezo ni dhana za kufikirika tu.

Urembo wako ndio funika kombe wa yote hayo. 1st impression ndio kila kitu. Au sio bro BAK
 
.......naam,

1st Impression, kisha hayo mengine yataji balance siku zinavyokwenda. Si unajua, hakuna mkamilifu duniani.
Hakuna ndio lkn hivyo vigezo na masharti mpk unaogopa
 
Hili ni bandiko la kutafta mke ama unatafta mkuzenzi wa sector flan[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom