Natafuta mchumba lakini uwe unasoma DUKE

Natafuta mchumba lakini uwe unasoma DUKE

Nyani abiziani

Hii tenda naweza kuinyaka lakini bado haujaweka vigezo vya mchumba,eg mweusi,mweupe,mfupi,mrefu,macho ya wizi,miguu chupa ya bia,makalio madogo/makubwa,ukubwa wa kiuno na nk ni muhimu vikafafanuliwa.

Mkuu kazi yoyote ina gharama na ujira si vibaya ukaweka wazi utatoa kiasi gani kwanza kuniwezesha na mwisho nikimaliza kazi kwa mafanikio nitalipwa nini
.

 
Nyani abiziani

Hii tenda naweza kuinyaka lakini bado haujaweka vigezo vya mchumba,eg mweusi,mweupe,mfupi,mrefu,macho ya wizi,miguu chupa ya bia,makalio madogo/makubwa,ukubwa wa kiuno na nk ni muhimu vikafafanuliwa.

Mkuu kazi yoyote ina gharama na ujira si vibaya ukaweka wazi utatoa kiasi gani kwanza kuniwezesha na mwisho nikimaliza kazi kwa mafanikio nitalipwa nini.


Mkuu angweweka vigezo ningemsaidia labda mdogo wa wife angemfaa ila anabania taarifa za muhimu
 
Mkuu angweweka vigezo ningemsaidia labda mdogo wa wife angemfaa ila anabania taarifa za muhimu

Mkuu upo serious?
kwanza awe mweusi lakini sio weusi wa kiwi, mrefu au mfupi, asiwe mnene....dini yoyote ila mimi ni mkristo.
 
Back
Top Bottom