usijali jifunze kuimba may someday mambo yatakuwa safi..awe mpenzi wa kuimba...........?
Asalale chance imenipita hivi hivi
awe mpenzi wa kuimba...........?
Asalale chance imenipita hivi hivi
Yule nanilii wako hakutoshi mpaka unataka up coming?
Mama Lwakatare atakufaa sana
usijali jifunze kuimba may someday mambo yatakuwa safi..
Mafiga matatu ndo habari ya mujini......
wewe fkawogo wewe hizi chansi zinanipita tu
wanaume na nyie mbona mnakuwa very selective hivi
Ahahaha....asiye selective labda kaka yako tu! ndo anakupenda ulivyo sie wengine utadhani tunatafuta actors wa movie scripts flani tulizoandika!
Ila huyu afadhali mimi siku nkija na tangazo langu nadhani utakua wa kwanza kujiengua aisee...
Figa la pili tayari au bado?
Umenipata tena nna album ka 3 hivi useme tu kingine