NATAFUTA MCHUMBA MCHA MUNGU (kwa akina dada)

NATAFUTA MCHUMBA MCHA MUNGU (kwa akina dada)

fkawogo

Senior Member
Joined
May 30, 2013
Posts
131
Reaction score
37
naitwa john frank nafanyakazi ya kuajiliwa mwanza elimu yangu ni ya chuo kikuu natafuta mchumba mcha MUNGU lakini pia awe mpenzi wa kuimba awe anatoka mahali popote tanzania awetayari kupima atakayekuwa tayari tuwasiliane kwa namba 0768907524. awe na umri kuanzia miaka 23 kuendelea.
 
Umenipata tena nna album ka 3 hivi useme tu kingine
 
Mchumba mcha Mungu, kanisani unakoabudu au makanisa uliyokaribu nayo umemkosa?
Mungu akusaidie ndugu yangu, maana kuoa siyo kazi kazi ni kumpata unayemtaka kumuoa.
 
wewe fkawogo wewe hizi chansi zinanipita tu
wanaume na nyie mbona mnakuwa very selective hivi

Ahahaha....asiye selective labda kaka yako tu! ndo anakupenda ulivyo sie wengine utadhani tunatafuta actors wa movie scripts flani tulizoandika!

Ila huyu afadhali mimi siku nkija na tangazo langu nadhani utakua wa kwanza kujiengua aisee...
 
Ahahaha....asiye selective labda kaka yako tu! ndo anakupenda ulivyo sie wengine utadhani tunatafuta actors wa movie scripts flani tulizoandika!

Ila huyu afadhali mimi siku nkija na tangazo langu nadhani utakua wa kwanza kujiengua aisee...

Hhahahaaa labda unaeza taja hata kigezo kimoja ntakachofit.........,
hahaaa hata bongo movies wanaeza kuwa sio selective hivi kama ninyi
 
Umenipata tena nna album ka 3 hivi useme tu kingine

hakuna kingine zaidi ya nilivyoandika albam ya kwanza inaitwaje and call me through my phone if your serious please do not joke me. realy am in need.
 
da nashukuru sana kwa ushauri wako we kweli a good friend no nimeona nitumie njia hii mi naona niko sahihi hata nikitumia njia hii
 
Ukishampata ninaomba ufanye haya ili kumfanya akupende:

"Mambo 5 muhimu ya kumfanya demu wako akupende kwa dhati 1.Mpe hela. 2.Mpe hela 3.We mpe hela. 4.Nakwambia mpe hela. 5.We mpe hela tu utaona"
 
Back
Top Bottom