Natafuta mchumba mcha Mungu!

Natafuta mchumba mcha Mungu!

verbs

Member
Joined
Oct 14, 2019
Posts
22
Reaction score
11
Mm ni kijana mwenye miaka 22 natafuta mchuma miaka 18-29 serious ajue uchungu wa kutedwa ntampenda sana !!
Nipo arushaa ni chek box..
 
Wewe unatafuta mchumba? Kuna mwenzako katafuta mke humu huu mwezi wa nane kakosa hadi akawaachia laana.

Sasa zubaa usubiri mchumba kutoka JF. Utajimega.
 
Wewe unatafuta mchumba? Kuna mwenzako katafuta mke humu huu mwezi wa nane kakosa hadi akawaachia laana.

Sasa zubaa usubiri mchumba kutoka JF. Utajimega.
Laaana tena
 
Gad'Demn....
tapatalk_jpeg_1568211858235.jpeg
 
nenda mlimani kwenye matamasha ya RADIO SAFINA

utawapata wenzako huko wana maombi

Akukalishe njaaa wiki nzima kisa ni YUKO kwenye maombi

Utaomba POOO nakwambia

mwenzako yalinikuta nilihisi niko na mu all shabaaab

Akiomba analiaaaaaa akimaliza anacheka kula hali,ni yuko kwenye maombi

Upo hapo muraaaaaa...Usiseme sijakwambia.
 
nenda mlimani kwenye matamasha ya RADIO SAFINA

utawapata wenzako huko wana maombi

Akukalishe njaaa wiki nzima kisa ni YUKO kwenye maombi

Utaomba POOO nakwambia

mwenzako yalinikuta nilihisi niko na mu all shabaaab

Akiomba analiaaaaaa akimaliza anacheka kula hali,ni yuko kwenye maombi

Upo hapo muraaaaaa...Usiseme sijakwambia.
Sasa yupi bora kati ya hawa wawili? Anayedanga au Anayemcha Mungu.
 
nenda mlimani kwenye matamasha ya RADIO SAFINA

utawapata wenzako huko wana maombi

Akukalishe njaaa wiki nzima kisa ni YUKO kwenye maombi

Utaomba POOO nakwambia

mwenzako yalinikuta nilihisi niko na mu all shabaaab

Akiomba analiaaaaaa akimaliza anacheka kula hali,ni yuko kwenye maombi

Upo hapo muraaaaaa...Usiseme sijakwambia.
Saw kaka mkubwa
 
Wewe unatafuta mchumba? Kuna mwenzako katafuta mke humu huu mwezi wa nane kakosa hadi akawaachia laana.

Sasa zubaa usubiri mchumba kutoka JF. Utajimega.
Watakuja na upepo wa kisulisuli.😂😂😂
 
Jamani kila mtu akitoa sifa zake ni awe mcha mungu, ...ina mana wasokuwa wacha Mungu hawahtajiki?, wachamungu wanapatikana kanisaniiii
 
Back
Top Bottom