unataka aweje sasa
mtoto? kijana au mzee?
amesema anataka mklistu.......
dear wana jf
mimi ni msichana mwenye umli wa miaka 24 natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 27-33
wasifu wangu
mnene wastani,mrefu wastan,elimu ya chuo,sijawahi kuolewa wala sina mtoto,mkilistu.
wasifu wa mwanaume
mrefu,elimu ya chuo(degree)mkilistu,awe na kazi,awe hajawahi kuoa.
kwa mwenye vigezo naomba ani pm pls.jokes sitaki
Mimi nina kazi nzuri tu ila sina degree.nilijaribu kuchukuwa degree ila nikadisco nikiwa mwaka wa tatu kwa sababu za kisiasa.unaweza kunifikiria?
kigezo cha dini je?
Bamwanasha
Mimi nina kazi nzuri tu ila sina degree.nilijaribu kuchukuwa degree ila nikadisco nikiwa mwaka wa tatu kwa sababu za kisiasa.unaweza kunifikiria?
nadhani itabidi kuthibitisha kitaalam kama umehold degree.lakni mimi kinachoweza kunisaidia hapa ni kwamba hata atakapoenda kuuliza chuo nilichosoma watamuambia kwamba nilsoma pale lakini niliondolewa kwa hila.kama una sifa apply kaka!Ina maana kutakuwa na zoezi la ku-attach certificate?