Mimi nina vigezo vyoote, nina degree, mkilistu, nina kazi, mnene wastani ila kimoja sasa me mfupi kidogo sijui itakuaje but nipo serious sina jocks. na ikiwezekana hata mwakani tufunge ndoa me niko tayari kabisaa. kama hata ukinikaribisha kwenu kesho me niko tayari.kigezo cha dini je?
Bamwanasha