Viva89
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 1,261
- 528
[h=2]Mchumba anatafutwa[/h]
Serious na kwa dhati kabisa natafuta msichana aliyetayari kuingia kwenye ndoa na kuanzisha nae familia kama mume na mke baada ya kufahamiana na kuridhiana. Kama hauko serious tafadhali kaa kando kwani sitaki mambo ya kupotezeana muda.
WASIFU WANGU;Serious na kwa dhati kabisa natafuta msichana aliyetayari kuingia kwenye ndoa na kuanzisha nae familia kama mume na mke baada ya kufahamiana na kuridhiana. Kama hauko serious tafadhali kaa kando kwani sitaki mambo ya kupotezeana muda.
WASIFU WANGU;
Jinsia: Mwanaume
Elimu yangu: juu(chuo)
Umri: 32 yrs
Mwonekano: Mwembamba kiasi, urefu wa wastani, mweusi kiasi.
Dini: mkristo ( katoliki)
Kazi: mwajiriwa/biashara/kilimo pia
Uhusiano: nipo single na sijawahi kuoa.
Mtoto: sina
Pombe: situmii
Sigara: situmii
Nyumbani: natatokea kanda ya ziwa
Makazi ya sasa: dsm
WASIFU WA MLENGWA;
Jinsia yake; msichana
Umri wake; asizidi 22-28 yrs
Mwonekano wake: awe na umbo la wastani ( sio mwembamba sana au mnene sana, au mfupi kabisa), mweupe au maji ya kunde atapewa kipaombele.
Dini yake; mkristo ( mcha mungu wa kweli)
Kazi yake; yoyote halali au hata kama hana kazi sawa
Uhusiano: awe single, hajawahi kuolewa.
Watoto: asiwe na mototo
Vilevi; asitumie pombe wala sigara au kilevi cha aina yoyote
Nyumbani: mwenyeji wa kanda ya ziwa atapewa kipaombele.
Kwa msichana yeyote mwenye wasifu huo aliyetayari na aliye serious kwa kuingia kwenye ndoa tuwasiliane kwa emaillowerones@yahoo.com
MSINISAHAU KWENYE HARUSI YENU......aki am goooood...mmmmwwaaaah....tafutaneni
WASIFU WANGU;Serious na kwa dhati kabisa natafuta msichana aliyetayari kuingia kwenye ndoa na kuanzisha nae familia kama mume na mke baada ya kufahamiana na kuridhiana. Kama hauko serious tafadhali kaa kando kwani sitaki mambo ya kupotezeana muda.
WASIFU WANGU;
Jinsia: Mwanaume
Elimu yangu: juu(chuo)
Umri: 32 yrs
Mwonekano: Mwembamba kiasi, urefu wa wastani, mweusi kiasi.
Dini: mkristo ( katoliki)
Kazi: mwajiriwa/biashara/kilimo pia
Uhusiano: nipo single na sijawahi kuoa.
Mtoto: sina
Pombe: situmii
Sigara: situmii
Nyumbani: natatokea kanda ya ziwa
Makazi ya sasa: dsm
WASIFU WA MLENGWA;
Jinsia yake; msichana
Umri wake; asizidi 22-28 yrs
Mwonekano wake: awe na umbo la wastani ( sio mwembamba sana au mnene sana, au mfupi kabisa), mweupe au maji ya kunde atapewa kipaombele.
Dini yake; mkristo ( mcha mungu wa kweli)
Kazi yake; yoyote halali au hata kama hana kazi sawa
Uhusiano: awe single, hajawahi kuolewa.
Watoto: asiwe na mototo
Vilevi; asitumie pombe wala sigara au kilevi cha aina yoyote
Nyumbani: mwenyeji wa kanda ya ziwa atapewa kipaombele.
Kwa msichana yeyote mwenye wasifu huo aliyetayari na aliye serious kwa kuingia kwenye ndoa tuwasiliane kwa emaillowerones@yahoo.com
MSINISAHAU KWENYE HARUSI YENU......aki am goooood...mmmmwwaaaah....tafutaneni