Mimi nina vigezo vyoote, nina degree, mkilistu, nina kazi, mnene wastani ila kimoja sasa me mfupi kidogo sijui itakuaje but nipo serious sina jocks. na ikiwezekana hata mwakani tufunge ndoa me niko tayari kabisaa. kama hata ukinikaribisha kwenu kesho me niko tayari.kigezo cha dini je?
Bamwanasha
dear wana jf
mimi ni msichana mwenye umli wa miaka 24 natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 27-33
wasifu wangu
mnene wastani,mrefu wastan,elimu ya chuo,sijawahi kuolewa wala sina mtoto,mkilistu.
wasifu wa mwanaume
mrefu,elimu ya chuo(degree)mkilistu,awe na kazi,awe hajawahi kuoa.
kwa mwenye vigezo naomba ani pm pls.jokes sitaki
Usikatishwe tamaa mwaya, utampata wa kukufaa. Subira yavuta heri shosti
dear wana jf
mimi ni msichana mwenye umli wa miaka 24 natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 27-33
wasifu wangu
mnene wastani,mrefu wastan,elimu ya chuo,sijawahi kuolewa wala sina mtoto,mkilistu.
wasifu wa mwanaume
mrefu,elimu ya chuo(degree)mkilistu,awe na kazi,awe hajawahi kuoa.
kwa mwenye vigezo naomba ani pm pls.jokes sitaki
dear wana jf
mimi ni msichana mwenye umli wa miaka 24 natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 27-33
wasifu wangu
mnene wastani,mrefu wastan,elimu ya chuo,sijawahi kuolewa wala sina mtoto,mkilistu.
wasifu wa mwanaume
mrefu,elimu ya chuo(degree)mkilistu,awe na kazi,awe hajawahi kuoa.
kwa mwenye vigezo naomba ani pm pls.jokes sitaki
dear wana jf
mimi ni msichana mwenye umli wa miaka 24 natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 27-33
wasifu wangu
mnene wastani,mrefu wastan,elimu ya chuo,sijawahi kuolewa wala sina mtoto,mkilistu.
Wasifu wa mwanaume
mrefu,elimu ya chuo(degree)mkilistu,awe na kazi,awe hajawahi kuoa.
Kwa mwenye vigezo naomba ani pm pls.jokes sitaki
Sasa hapo unatangaza nafasi za kazi au nini?nathubutu kusema degree yako haijakusaidia kwa chochote kile na nakushauri urudi shule yaweza kuwa ulichakachua hata kuandika hujui,huna vision,wala planning yeyote,tafuta kitabu cha myles munroe kinaitwa waiting and dating,na kingine kinaitwa taking wedlock out of a padlock,unaniangusha na elimu yako ya degree haiendani na fikara zako hasi
dear wana jf
mimi ni msichana mwenye umli wa miaka 24 natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 27-33
wasifu wangu
mnene wastani,mrefu wastan,elimu ya chuo,sijawahi kuolewa wala sina mtoto,mkilistu.
wasifu wa mwanaume
mrefu,elimu ya chuo(degree)mkilistu,awe na kazi,awe hajawahi kuoa.
kwa mwenye vigezo naomba ani pm pls.jokes sitaki
Hivi wanawake siku hizi mna nini? Mnaolewa na degree sio?
baraza litachukua nafasi kwa watakaofoji vyeti teh teh tehVyeti vinaongeza ukubwa wa mpilimpi. . .