Natafuta Mchumba (mke mtarajiwa): Makazi Mbeya mjini

Natafuta Mchumba (mke mtarajiwa): Makazi Mbeya mjini

Abdullah01

Member
Joined
Jul 5, 2023
Posts
20
Reaction score
53
Kichwa cha habari cha husika hapo juu.
1. Mimi ni mwanaume ninayejielewa na nakusudia kufunga ndoa mwaka huu ikimpendeza Allah.
2. Miaka yangu 40, mwajiriwa serikalini na mjasiria mali pia.
3. Natafuta mwanamke kwa maana ya Mchumba ili ikimpendeza Allah basi tuweze kufunga ndoa mwaka huu tuishi pamoja maisha ya familia.

Sifa za mwanamke nimpendaye
1. Awe anaishi mkoa wa mbeya au mikoa ya jirani kama vile songwe, au Njombe, na Iringa
2. Awe na miaka kuanzia 28 hadi 40 ( umri ni namba tu).
3. Awe na shuguli inayomwingizia kipato - ajira, au mjasiria mali au biashara asiwe tu mama wa nyumbani
4. AKIWA NA MTOTO (Single Maza) basi ASIZIDI MTOTO MMOJA.
5. SICHAGUI KABILA, DINI, SURA AU MUONEKANO WAKO kwa sababu mimi sio Mungu na wala sina mamlaka ya kukosoa uumbaji wa Mungu.
6. UPENDO WA KWELI, HOFU YA MUNGU, NIA THABITI YA KUWA NA MUME WAKO NA FAMILIA YAKO ndio msingi bora wa mahusiano imara.

Mwisho: nitakuwa mwanaume muwajibikaji kwa familia yangu kwa maana fedha sio tatizo, kikubwa ni upendo na commitment ya wewe kuwa mke bora kwangu.

KARIBU SANA KWA MWENYE UHITAJI.
 
Aiseee,
Unatarajia kufunga ndoa mwaka huu lakini ndio kwanza bibiharusi anatafutwa?
😵
Anyway, 4 months to go.
Ni kwa vile nimejiandaa tayari. Ujue kusema mwanamke umpate ukae nae uchumba mwaka au miaka miwili au mitatu eti mnachunguzana tabia ndio umuoe hiyo it can't work.
Huko ni kupotezea muda mtoto wa watu.
Mwanamke just in one day or a week ukiwa smart unajua tu kuwa huyu atafaa au nitapoteana mazima.
Kwangu mimi nipo sahihi kabisa kwa huo muda nilioweka
 
Nyege mbaya sana Ebu piga ki dronedrake kimoja kwanza afu uupitie upya uzi wako, hii si akili yako Mkuu.
 
Ni kwa vile nimejiandaa tayari. Ujue kusema mwanamke umpate ukae nae uchumba mwaka au miaka miwili au mitatu eti mnachunguzana tabia ndio umuoe hiyo it can't work.
Huko ni kupotezea muda mtoto wa watu.
Mwanamke just in one day or a week ukiwa smart unajua tu kuwa huyu atafaa au nitapoteana mazima.
Kwangu mimi nipo sahihi kabisa kwa huo muda nilioweka
Ulishampata??
 
Kichwa cha habari cha husika hapo juu.
1. Mimi ni mwanaume ninayejielewa na nakusudia kufunga ndoa mwaka huu ikimpendeza Allah.
2. Miaka yangu 40, mwajiriwa serikalini na mjasiria mali pia.
3. Natafuta mwanamke kwa maana ya Mchumba ili ikimpendeza Allah basi tuweze kufunga ndoa mwaka huu tuishi pamoja maisha ya familia.

Sifa za mwanamke nimpendaye
1. Awe anaishi mkoa wa mbeya au mikoa ya jirani kama vile songwe, au Njombe, na Iringa
2. Awe na miaka kuanzia 28 hadi 40 ( umri ni namba tu).
3. Awe na shuguli inayomwingizia kipato - ajira, au mjasiria mali au biashara asiwe tu mama wa nyumbani
4. AKIWA NA MTOTO (Single Maza) basi ASIZIDI MTOTO MMOJA.
5. SICHAGUI KABILA, DINI, SURA AU MUONEKANO WAKO kwa sababu mimi sio Mungu na wala sina mamlaka ya kukosoa uumbaji wa Mungu.
6. UPENDO WA KWELI, HOFU YA MUNGU, NIA THABITI YA KUWA NA MUME WAKO NA FAMILIA YAKO ndio msingi bora wa mahusiano imara.

Mwisho: nitakuwa mwanaume muwajibikaji kwa familia yangu kwa maana fedha sio tatizo, kikubwa ni upendo na commitment ya wewe kuwa mke bora kwangu.

KARIBU SANA KWA MWENYE UHITAJI.
Ujana wako umekula na nan unatafuta wa kumzeekea saizi unakuta ndio wale mlikuwa mnasema kataa ndoa....utastaafu mtt wako wa kwanza atakuwa form two.....kwenda huko
 
Ujana wako umekula na nan unatafuta wa kumzeekea saizi unakuta ndio wale mlikuwa mnasema kataa ndoa....utastaafu mtt wako wa kwanza atakuwa form two.....kwenda huko
Sio poa, hayo sio mambo ya kujitakia. Jitahidi kuwa na kauli nzuri.
 
Kichwa cha habari cha husika hapo juu.
1. Mimi ni mwanaume ninayejielewa na nakusudia kufunga ndoa mwaka huu ikimpendeza Allah.
2. Miaka yangu 40, mwajiriwa serikalini na mjasiria mali pia.
3. Natafuta mwanamke kwa maana ya Mchumba ili ikimpendeza Allah basi tuweze kufunga ndoa mwaka huu tuishi pamoja maisha ya familia.

Sifa za mwanamke nimpendaye
1. Awe anaishi mkoa wa mbeya au mikoa ya jirani kama vile songwe, au Njombe, na Iringa
2. Awe na miaka kuanzia 28 hadi 40 ( umri ni namba tu).
3. Awe na shuguli inayomwingizia kipato - ajira, au mjasiria mali au biashara asiwe tu mama wa nyumbani
4. AKIWA NA MTOTO (Single Maza) basi ASIZIDI MTOTO MMOJA.
5. SICHAGUI KABILA, DINI, SURA AU MUONEKANO WAKO kwa sababu mimi sio Mungu na wala sina mamlaka ya kukosoa uumbaji wa Mungu.
6. UPENDO WA KWELI, HOFU YA MUNGU, NIA THABITI YA KUWA NA MUME WAKO NA FAMILIA YAKO ndio msingi bora wa mahusiano imara.

Mwisho: nitakuwa mwanaume muwajibikaji kwa familia yangu kwa maana fedha sio tatizo, kikubwa ni upendo na commitment ya wewe kuwa mke bora kwangu.

KARIBU SANA KWA MWENYE UHITAJI.
Kila lakheri nanii
 
Back
Top Bottom