Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,861
- 810
du nimeikosa hiyo, ukisikia masharti na vigezo kuzingatiwa ndo hapo. tatizo umri. nani yupo tyr kunikopesha miaka 3?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuheshimiane me sio mdada ..afu usipende kutaja jinsia ya mtu humu coz mwingine anajiita halima hapa kumbe john kama wewe rafadhali mkuu ...umeniudhi yani naangalia dushelele yangu na ulichoandika hapo dah! Nitake radhi
Umeona mkuu, mtu anajiita Ney, halafu ana tujimaneno twa kinadada wa uswazi, uta muitaje huyo?Umeitwa mdada kutokana na vijimaneno vyako vya kike. You look like mwanamke tena anayeishi uswahilini, jamaa hajakosea kukuita hivyo. NAUNGA MKONO HOJA!
nipo dogo dogo aka damu inayochemka vp nikutafte 2yapangeNaitwa Janeth Shawa miaka 29, ninatafuta mchumba mwenye mapenzi ya kweli umri kati ya miaka 29 mpaka 40 ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa,Ambaye hana mke,akiwa na mtoto au watoto sio tatizo,Awe mtanzania,Sichagui Elimu,dini,rangi wala kabila,ambaye atakuwa tayari tuanzisha familia,awe tayari tupime ukimwi.Mimi kwa sasa naishi na kufanya kazi Marekani(USA),si lazima awepo hapa Marekani hata akiwa Tanzania au popote pale kwangu haina shida kwa sababu tutajitahidi kwa pamoja tuonane.
Tafadhali naomba kwa aliye serious tu aniandikie kwenye email hii;
j-shawa@live.com au anitafute kwenye facebook: http://www.facebook.com/janeth.shawa
Naitwa Janeth Shawa miaka 29, ninatafuta mchumba mwenye mapenzi ya kweli umri kati ya miaka 29 mpaka 40 ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa,Ambaye hana mke,akiwa na mtoto au watoto sio tatizo,Awe mtanzania,Sichagui Elimu,dini,rangi wala kabila,ambaye atakuwa tayari tuanzisha familia,awe tayari tupime ukimwi.Mimi kwa sasa naishi na kufanya kazi Marekani(USA),si lazima awepo hapa Marekani hata akiwa Tanzania au popote pale kwangu haina shida kwa sababu tutajitahidi kwa pamoja tuonane.
Tafadhali naomba kwa aliye serious tu aniandikie kwenye email hii;
j-shawa@live.com au anitafute kwenye facebook: http://www.facebook.com/janeth.shawa
Naitwa Janeth Shawa miaka 29, ninatafuta mchumba mwenye mapenzi ya kweli umri kati ya miaka 29 mpaka 40 ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa,Ambaye hana mke,akiwa na mtoto au watoto sio tatizo,Awe mtanzania,Sichagui Elimu,dini,rangi wala kabila,ambaye atakuwa tayari tuanzisha familia,awe tayari tupime ukimwi.Mimi kwa sasa naishi na kufanya kazi Marekani(USA),si lazima awepo hapa Marekani hata akiwa Tanzania au popote pale kwangu haina shida kwa sababu tutajitahidi kwa pamoja tuonane.
Tafadhali naomba kwa aliye serious tu aniandikie kwenye email hii;
j-shawa@live.com au anitafute kwenye facebook: http://www.facebook.com/janeth.shawa
Naitwa Janeth Shawa miaka 29, ninatafuta mchumba mwenye mapenzi ya kweli umri kati ya miaka 29 mpaka 40 ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa,Ambaye hana mke,akiwa na mtoto au watoto sio tatizo,Awe mtanzania,Sichagui Elimu,dini,rangi wala kabila,ambaye atakuwa tayari tuanzisha familia,awe tayari tupime ukimwi.Mimi kwa sasa naishi na kufanya kazi Marekani(USA),si lazima awepo hapa Marekani hata akiwa Tanzania au popote pale kwangu haina shida kwa sababu tutajitahidi kwa pamoja tuonane.
Tafadhali naomba kwa aliye serious tu aniandikie kwenye email hii;
j-shawa@live.com au anitafute kwenye facebook: http://www.facebook.com/janeth.shawa
Kila la heri!!!
![]()
Umeona mkuu, mtu anajiita Ney, halafu ana tujimaneno twa kinadada wa uswazi, uta muitaje huyo?
Anyway, id unayotumia humu ina uhusiano mkubwa na tabia zako, au jinsia yako!
Dada hivi ulipataga mchumba?Naitwa Janeth Shawa miaka 29, ninatafuta mchumba mwenye mapenzi ya kweli umri kati ya miaka 29 mpaka 40 ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa,Ambaye hana mke,akiwa na mtoto au watoto sio tatizo,Awe mtanzania,Sichagui Elimu,dini,rangi wala kabila,ambaye atakuwa tayari tuanzisha familia,awe tayari tupime ukimwi.Mimi kwa sasa naishi na kufanya kazi Marekani(USA),si lazima awepo hapa Marekani hata akiwa Tanzania au popote pale kwangu haina shida kwa sababu tutajitahidi kwa pamoja tuonane.
Tafadhali naomba kwa aliye serious tu aniandikie kwenye email hii;
j-shawa@live.com au anitafute kwenye facebook: http://www.facebook.com/janeth.shawa