Natafuta mchumba/mume wa kuanza naye maisha ya ndoa

Natafuta mchumba/mume wa kuanza naye maisha ya ndoa

du nimeikosa hiyo, ukisikia masharti na vigezo kuzingatiwa ndo hapo. tatizo umri. nani yupo tyr kunikopesha miaka 3?
 
huyu hacker tu....anataka kuingilia email accounts zenu....haha!
 
Hapo tu kwenye USA ndo umeniweza,kusafiri kwangu kwenye ndege mwisho masaa matatu ningejitutumua kama ungekuwa bongo presha hizi nazo basi tu!
 
kazi unayo, maana uliendaa huko kucheki maisha umeyapata au unatafuta wa kutoa kafara?
 
tuheshimiane me sio mdada ..afu usipende kutaja jinsia ya mtu humu coz mwingine anajiita halima hapa kumbe john kama wewe rafadhali mkuu ...umeniudhi yani naangalia dushelele yangu na ulichoandika hapo dah! Nitake radhi

Sasa we una dushelele halafu unajiita Ney (Neema)? Makubwa!
Ama na wewe una mpango wa kutapeli vijana wa kiume humu katika siku za usoni? Maneno huumba, teh teh teh!
 
Umeitwa mdada kutokana na vijimaneno vyako vya kike. You look like mwanamke tena anayeishi uswahilini, jamaa hajakosea kukuita hivyo. NAUNGA MKONO HOJA!
Umeona mkuu, mtu anajiita Ney, halafu ana tujimaneno twa kinadada wa uswazi, uta muitaje huyo?
Anyway, id unayotumia humu ina uhusiano mkubwa na tabia zako, au jinsia yako!
 
Naitwa Janeth Shawa miaka 29, ninatafuta mchumba mwenye mapenzi ya kweli umri kati ya miaka 29 mpaka 40 ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa,Ambaye hana mke,akiwa na mtoto au watoto sio tatizo,Awe mtanzania,Sichagui Elimu,dini,rangi wala kabila,ambaye atakuwa tayari tuanzisha familia,awe tayari tupime ukimwi.Mimi kwa sasa naishi na kufanya kazi Marekani(USA),si lazima awepo hapa Marekani hata akiwa Tanzania au popote pale kwangu haina shida kwa sababu tutajitahidi kwa pamoja tuonane.
Tafadhali naomba kwa aliye serious tu aniandikie kwenye email hii;
j-shawa@live.com au anitafute kwenye facebook: http://www.facebook.com/janeth.shawa
nipo dogo dogo aka damu inayochemka vp nikutafte 2yapange
 
Naitwa Janeth Shawa miaka 29, ninatafuta mchumba mwenye mapenzi ya kweli umri kati ya miaka 29 mpaka 40 ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa,Ambaye hana mke,akiwa na mtoto au watoto sio tatizo,Awe mtanzania,Sichagui Elimu,dini,rangi wala kabila,ambaye atakuwa tayari tuanzisha familia,awe tayari tupime ukimwi.Mimi kwa sasa naishi na kufanya kazi Marekani(USA),si lazima awepo hapa Marekani hata akiwa Tanzania au popote pale kwangu haina shida kwa sababu tutajitahidi kwa pamoja tuonane.
Tafadhali naomba kwa aliye serious tu aniandikie kwenye email hii;

j-shawa@live.com au anitafute kwenye facebook: http://www.facebook.com/janeth.shawa

mambo vp umeshapata? Kama bado nifuate hapa ,, ben shamsengi face book.
 
Naitwa Janeth Shawa miaka 29, ninatafuta mchumba mwenye mapenzi ya kweli umri kati ya miaka 29 mpaka 40 ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa,Ambaye hana mke,akiwa na mtoto au watoto sio tatizo,Awe mtanzania,Sichagui Elimu,dini,rangi wala kabila,ambaye atakuwa tayari tuanzisha familia,awe tayari tupime ukimwi.Mimi kwa sasa naishi na kufanya kazi Marekani(USA),si lazima awepo hapa Marekani hata akiwa Tanzania au popote pale kwangu haina shida kwa sababu tutajitahidi kwa pamoja tuonane.
Tafadhali naomba kwa aliye serious tu aniandikie kwenye email hii;

j-shawa@live.com au anitafute kwenye facebook: http://www.facebook.com/janeth.shawa

Aisee kumbe upo serious? ulivyoniambia unaniacha nilidhani utani? kila la kheri dadangu mchango nitatoa
 
Kila la heri!!!

397972_107900732723607_1185954946_n.jpg
 
Naitwa Janeth Shawa miaka 29, ninatafuta mchumba mwenye mapenzi ya kweli umri kati ya miaka 29 mpaka 40 ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa,Ambaye hana mke,akiwa na mtoto au watoto sio tatizo,Awe mtanzania,Sichagui Elimu,dini,rangi wala kabila,ambaye atakuwa tayari tuanzisha familia,awe tayari tupime ukimwi.Mimi kwa sasa naishi na kufanya kazi Marekani(USA),si lazima awepo hapa Marekani hata akiwa Tanzania au popote pale kwangu haina shida kwa sababu tutajitahidi kwa pamoja tuonane.
Tafadhali naomba kwa aliye serious tu aniandikie kwenye email hii;

j-shawa@live.com au anitafute kwenye facebook: http://www.facebook.com/janeth.shawa

tatazo age..!
 
Sifa ninazo,

But mi "wa hapahapa" tu!!
 
najua watanzania watakutafuta sababu wanapenda kuja mjini kwaiyo wasubili2,kama upo duniani haina tabu.......
 
duh umenivutia sana muonekano wako...wewe ni mzuri sana kwa sura ila umri tumeachana mbali mno.kila la heri
 
Umeona mkuu, mtu anajiita Ney, halafu ana tujimaneno twa kinadada wa uswazi, uta muitaje huyo?
Anyway, id unayotumia humu ina uhusiano mkubwa na tabia zako, au jinsia yako!

ID inasomeka NEY KUSH ------ wewe kwaiyo neymar nae ni mwanamke fikiria choko wewe sio unaongea kisa umepewa support ....usione mtu kakaa kimya ukajiona una point sana lofa wewe
 
Naitwa Janeth Shawa miaka 29, ninatafuta mchumba mwenye mapenzi ya kweli umri kati ya miaka 29 mpaka 40 ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa,Ambaye hana mke,akiwa na mtoto au watoto sio tatizo,Awe mtanzania,Sichagui Elimu,dini,rangi wala kabila,ambaye atakuwa tayari tuanzisha familia,awe tayari tupime ukimwi.Mimi kwa sasa naishi na kufanya kazi Marekani(USA),si lazima awepo hapa Marekani hata akiwa Tanzania au popote pale kwangu haina shida kwa sababu tutajitahidi kwa pamoja tuonane.
Tafadhali naomba kwa aliye serious tu aniandikie kwenye email hii;

j-shawa@live.com au anitafute kwenye facebook: http://www.facebook.com/janeth.shawa
Dada hivi ulipataga mchumba?
 
Back
Top Bottom