Natafuta mchumba (Mume) wakuanza naye familia pamoja

Natafuta mchumba (Mume) wakuanza naye familia pamoja

war1914

New Member
Joined
Oct 10, 2021
Posts
4
Reaction score
39
Kichwa cha habari kinajieleza.
Mimi ni mdada nahitaji mume wa maisha.

Sifa zangu:
Miaka 32, mchristo, mwajiliwa, mdada wa kawaida tu nisiye na mambo mengi.

Sifa za nimtakaye;
Mwanaume miaka kuanzia 34 nakuendelea, ambaye amejiajili au kuajiliwa. Dini yeyote, kabila lolote, awe popote pale Duniani.

NB: Mengine tutaelezana PM, karibuni sana.

Nitakupenda, nitakuheshimu, nitakujali karibu mume wangu mtarajiwa.
 
Kichwa cha habari kinajieleza.
Mimi ni mdada nahitaji mume wa maisha.

Sifa zangu:
Miaka 32, mchristo, mwajiliwa, mdada wa kawaida tu nisiye na mambo mengi.

Sifa za nimtakaye;
Mwanaume miaka kuanzia 34 nakuendelea, ambaye amejiajili au kuajiliwa. Dini yeyote, kabila lolote, awe popote pale Duniani.


NB: Mengine tutaelezana PM, karibuni sana.

Nitakupenda, nitakuheshimu, nitakujali karibu mume wangu mtarajiwa.
Niambie kwanza umejifunzia wapi kutuma PM hapa jf

😅😅😅
 
Shida inaanzia hapo kwenye "Nimeajiliwa"..

Hapo pamekupunguzia 50%, ukiplus age tukianza kuuliza ulikuwa wapi unabakiwa na 10% chance.

Anyway, age is just a number ila ni ulaya na marekani tuu.
Basi sawa, ushauri wako nikuwa nisingeandika hiyo kuajiliwa au,
Siwezi danganya sina ajira wakati ni mwajiriwa
 
Back
Top Bottom