Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Maisha yamekuwa magumu sana, kumtunza mtu mzima kila siku apate chakula, mavazi, tiba, maji ya kuoga dah; ni kupeana presha tu, kila mtu apambane kivyake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee utanifaa hutaki mambo mengiKichwa cha habari kinajieleza.
Mimi ni mdada nahitaji mume wa maisha.
Sifa zangu:
Miaka 32, mchristo, mwajiliwa, mdada wa kawaida tu nisiye na mambo mengi.
Sifa za nimtakaye;
Mwanaume miaka kuanzia 34 nakuendelea, ambaye amejiajili au kuajiliwa. Dini yeyote, kabila lolote, awe popote pale Duniani.
NB: Mengine tutaelezana PM, karibuni sana.
Nitakupenda, nitakuheshimu, nitakujali karibu mume wangu mtarajiwa.
Kha sasa mie nahitaje mke anayeweza kupiga threesomemzabzab oa ndugu yangu anahitajika mume yeyote
waoo babe🤩🤩, punguza number umri kidogo mamaakeKichwa cha habari kinajieleza.
Mimi ni mdada nahitaji mume wa maisha.
Sifa zangu:
Miaka 32, mchristo, mwajiliwa, mdada wa kawaida tu nisiye na mambo mengi.
Sifa za nimtakaye;
Mwanaume miaka kuanzia 34 nakuendelea, ambaye amejiajili au kuajiliwa. Dini yeyote, kabila lolote, awe popote pale Duniani.
NB: Mengine tutaelezana PM, karibuni sana.
Nitakupenda, nitakuheshimu, nitakujali karibu mume wangu mtarajiwa.
Kwani hujamjua? huyu si nanilii huyu.Niambie kwanza umejifunzia wapi kutuma PM hapa jf
😅😅😅
Zipo nyuzi za aina tatu ambazo hujirudia mara kwa mara. Nguruwe,Tracko, MchumbaHizi nyuzi za kutafuta Wenzi kipindi hiki mbona zimekuwa nyingi sana jamani?
Haya.... Mungu na akupe hitaji la moyo wako..
Maneno ya mwisho yameupasua Sana moyo Wangu!Kichwa cha habari kinajieleza.
Mimi ni mdada nahitaji mume wa maisha.
Sifa zangu:
Miaka 32, mchristo, mwajiliwa, mdada wa kawaida tu nisiye na mambo mengi.
Sifa za nimtakaye;
Mwanaume miaka kuanzia 34 nakuendelea, ambaye amejiajili au kuajiliwa. Dini yeyote, kabila lolote, awe popote pale Duniani.
NB: Mengine tutaelezana PM, karibuni sana.
Nitakupenda, nitakuheshimu, nitakujali karibu mume wangu mtarajiwa.
Kwani kasema hawezi?Kha sasa mie nahitaje mke anayeweza kupiga threesome
Ndio kasema hawezi nilishamuendea hewani🤣🤣🤣🤣🤣Kwani kasema hawezi?
Pamoja na kukusahihisha lakini bado hujaona error iko wapi tuu?🤣🤣🤣Basi sawa, ushauri wako nikuwa nisingeandika hiyo kuajiliwa au,
Siwezi danganya sina ajira wakati ni mwajiriwa
Kwa harakati za pimbi tu nakuaminia 😂😂😂Ndio kasema hawezi nilishamuendea hewani🤣🤣🤣🤣🤣
Kasemq habagui dini 🤣🤣Hayaaa waume wachiristoo mnaitwaa