AsanteeeKila lakheri na Mungu akujalie hitaji la nafsi yako.....
Niambie kwanza umejifunzia wapi kutuma PM hapa jfKichwa cha habari kinajieleza.
Mimi ni mdada nahitaji mume wa maisha.
Sifa zangu:
Miaka 32, mchristo, mwajiliwa, mdada wa kawaida tu nisiye na mambo mengi.
Sifa za nimtakaye;
Mwanaume miaka kuanzia 34 nakuendelea, ambaye amejiajili au kuajiliwa. Dini yeyote, kabila lolote, awe popote pale Duniani.
NB: Mengine tutaelezana PM, karibuni sana.
Nitakupenda, nitakuheshimu, nitakujali karibu mume wangu mtarajiwa.
Back up id 🤣Niambie kwanza umejifunzia wapi kutuma PM hapa jf
😅😅😅
Kakaa kimya hapo tumbo limeanza kumuuma😅😅Back up id 🤣
Basi sawa, ushauri wako nikuwa nisingeandika hiyo kuajiliwa au,Shida inaanzia hapo kwenye "Nimeajiliwa"..
Hapo pamekupunguzia 50%, ukiplus age tukianza kuuliza ulikuwa wapi unabakiwa na 10% chance.
Anyway, age is just a number ila ni ulaya na marekani tuu.
Wote sio wakristo tuHayaaa waume wachiristoo mnaitwaa
Heee pole zakeKakaa kimya hapo tumbo limeanza kumuuma😅😅
au ni wewe Depal😜😜