Natafuta mchumba/mume

Natafuta mchumba/mume

Hasab

Member
Joined
Nov 7, 2011
Posts
12
Reaction score
2
Mimi ni msichana mwenye umr wa miaka 23 nimehtimu chuo mwaka huu,nimeona nheshma kwangu iwapo ntakua nimetulia ktk ndoa yangu kuliko kuhangaika na maisha yasasa..Nahtaj mwanaume muislam,mpenda maendeleo,msikivu na mwenye upeo wa maisha,aliye tayar kurekebshwa pale akoseapo na aliyetayar nkosoa pale nkoseapo,,umri kuanzia miaka 24 yan asiwe mdogo kwangu...asiwe mlevi,...yeyote mwenye mapenz ya dhati ani PM...nipo serious sana.Asanten.Email yangu ni luvmy19@gmail.com plz use my email mana PM zangu nashndwa kujb naambiwa mpaka niwe nimepost mara tano.samahann kwa usumbuf
 
Dah sifa zooooote ninazo ila hapo kwenye dini tu, je nikibadili na kuwa muislamu nitapokelewa? Na umri umeweka kuanzia 24 je kuishia ngapi?
 
nitumie picha yako kwanza na private email yako. Nitarudi baadae kidogo
 
Mimi ni msichana mwenye umr wa miaka 23 nimehtimu chuo mwaka huu,nimeona nheshma kwangu iwapo ntakua nimetulia ktk ndoa yangu kuliko kuhangaika na maisha yasasa..Nahtaj mwanaume muislam,mpenda maendeleo,msikivu na mwenye upeo wa maisha,aliye tayar kurekebshwa pale akoseapo na aliyetayar nkosoa pale nkoseapo,,umri kuanzia miaka 24 yan asiwe mdogo kwangu...asiwe mlevi,...yeyote mwenye mapenz ya dhati ani PM...nipo serious sana.Asanten.

Tafuta MFINYANZI ujitengenezee unayemtaka alaf umjaze hivyo vigezo vyako.
 
Dah sifa zooooote ninazo ila hapo kwenye dini tu, je nikibadili na kuwa muislamu nitapokelewa? Na umri umeweka kuanzia 24 je kuishia ngapi?

Umri awe wastan mana unaweza kua na 40 na bado ukawa kjana,..
 
mimi nipo nitafute kwenye facebook id natafuta mpenzi ipo picha yangu black&whte.
 
Mimi ni msichana mwenye umr wa miaka 23 nimehtimu chuo mwaka huu,nimeona nheshma kwangu iwapo ntakua nimetulia ktk ndoa yangu kuliko kuhangaika na maisha yasasa..Nahtaj mwanaume muislam,mpenda maendeleo,msikivu na mwenye upeo wa maisha,aliye tayar kurekebshwa pale akoseapo na aliyetayar nkosoa pale nkoseapo,,umri kuanzia miaka 24 yan asiwe mdogo kwangu...asiwe mlevi,...yeyote mwenye mapenz ya dhati ani PM...nipo serious sana.Asanten.Email yangu ni luvmy19@gmail.com plz use my email mana PM zangu nashndwa kujb naambiwa mpaka niwe nimepost mara tano.samahann kwa usumbuf

Wewe ni dini gani?
Unapenda maendeleo?
Wewe ni msikivu na mwenye upeo wa maisha?
Una umri gani?
Wewe unalewa?

Ungeyaeleza hapa kama ulivyoeleza hapo kwenye red.
 
Wewe ni dini gani?
Unapenda maendeleo?
Wewe ni msikivu na mwenye upeo wa maisha?
Una umri gani?
Wewe unalewa?

Ungeyaeleza hapa kama ulivyoeleza hapo kwenye red.
Umeambiwa kama una-interest nenda email, atakwambia yote hayo!
 
fb nimeona kamati ya nusra utawapa waislam wenzako wanaotafuta wenza
 
Kila la kheri mdogo wangu. Mungu na akusaidie upate Mume na si bora mume.
 
Umeambiwa kama una-interest nenda email, atakwambia yote hayo!

Nilikuwa namsadia tuu. Mie nasubiria tangazo lako tuu. nakwambia wala situmi PM. Nakuja huko huko Ushongo Mabaoni. LOL.
 
Back
Top Bottom