Mimi ni msichana mwenye umr wa miaka 23 nimehtimu chuo mwaka huu,nimeona nheshma kwangu iwapo ntakua nimetulia ktk ndoa yangu kuliko kuhangaika na maisha yasasa..Nahtaj mwanaume muislam,mpenda maendeleo,msikivu na mwenye upeo wa maisha,aliye tayar kurekebshwa pale akoseapo na aliyetayar nkosoa pale nkoseapo,,umri kuanzia miaka 24 yan asiwe mdogo kwangu...asiwe mlevi,...yeyote mwenye mapenz ya dhati ani PM...nipo serious sana.Asanten.Email yangu ni luvmy19@gmail.com plz use my email mana PM zangu nashndwa kujb naambiwa mpaka niwe nimepost mara tano.samahann kwa usumbuf