Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Wanajisahau sana wanapokuwa kwenye ubora wao. Na wanaume wenyewe wenye 30s wanataka totoz mbichi za 25 kushika chiniWanavyokuwaga na maringo wakati ngoma haijafika 30 sasa, full maringo alafu baadae ndio oh nataka mume
Kwahyo umeburudika nae vyakutosha alaf ndounatafta mume??Sina sura mbaya kama unavyofikiria.. na sio kama sikuwa na mtu kabla.
Mimi nimeishi nje ya nchi kwa mda mrefu na nilikuwa na mwanaume huko ambae pia hakua mtz na dini zetu zilikuwa tofauti.
Familia zote mbili zilishindwa kuafiki hiyo situation ikabidi kila mtu aendelee na maisha yake. Na sasa ndio nimerudi Tanzania nikaona niendelee na maisha mapya
Mwenyezi Mungu akubariki upate anaekustahiliMimi ni mwanamke, umri 32, naishi dar es salaam, kazi ni Engineer nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa na sina mtoto, muislam, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 34-40, awe muislam, awe Engineer au kazi yoyote yenye kipato kizuri, elimu iwe degree kwenda juu, asiwe ameoa, asiwe mlevi, awe anaishi dar es salaam, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM. Kashfa, matusi na kejeli [emoji114].
Mbarikiwe sana
Engineer gani anajieleza vizuri hivi..Mimi ni mwanamke, umri 32, naishi dar es salaam, kazi ni Engineer nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa na sina mtoto, muislam, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 34-40, awe muislam, awe Engineer au kazi yoyote yenye kipato kizuri, elimu iwe degree kwenda juu, asiwe ameoa, asiwe mlevi, awe anaishi dar es salaam, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM. Kashfa, matusi na kejeli [emoji114].
Mbarikiwe sana
😂😂😂Kwanini dearIla JF sio mahala pa kueleza shida zako vinginevyo ujipange.
Watu wanamshukia mleta mada hadi sio poa [emoji23][emoji23][emoji23] Kuna muda naweza andika uzi lkn kila nikifikiria kuupost naghairi mana nina moyo mdogo waja wa humu wanaweza kukupa presha.[emoji23][emoji23][emoji23]Kwanini dear
Kwakweli Yani ukiandika kitu uwe na moyo hasa love connect wamezid aisee kunawatu wanastress kama vile watu walioachwa😂😂Watu wanamshukia mleta mada hadi sio poa [emoji23][emoji23][emoji23] Kuna muda naweza andika uzi lkn kila nikifirikia kuupost naghairi mana nina moyo mdogo waja wa humu wanaweza kukupa presha.
[emoji23][emoji23][emoji23] Sio poa yaani. Watu ni wamevurugwa huko wakija humu wanakuja kukuangushia zigo la machungu yao.Kwakweli Yani ukiandika kitu uwe na moyo hasa love connect wamezid aisee kunawatu wanastress kama vile watu walioachwa[emoji23][emoji23]
Uko sawa dada yangu Ila sikupangii unacho waza lakini kwa sisi waislam Mika 40 awe hajaoa na awe na digree cjuiSina sura mbaya kama unavyofikiria.. na sio kama sikuwa na mtu kabla.
Mimi nimeishi nje ya nchi kwa mda mrefu na nilikuwa na mwanaume huko ambae pia hakua mtz na dini zetu zilikuwa tofauti.
Familia zote mbili zilishindwa kuafiki hiyo situation ikabidi kila mtu aendelee na maisha yake. Na sasa ndio nimerudi Tanzania nikaona niendelee na maisha mapya
😅 😅 😅 😅Umesha choka kutumia P2!??
Kwa hio washauri nnWanajisahau sana wanapokuwa kwenye ubora wao. Na wanaume wenyewe wenye 30s wanataka totoz mbichi za 25 kushika chini
😀😀Umejaribu kupita pita dearKwa hio washauri nn
Mfano mimi at my 24 hata hawanionii
Usipende kuchagua chagua sana kwa kigezo cha mkwanja utajutia baadayeKwa hio washauri nn
Mfano mimi at my 24 hata hawanionii