Natafuta Mchumba/Mume

Natafuta Mchumba/Mume

Sina sura mbaya kama unavyofikiria.. na sio kama sikuwa na mtu kabla.

Mimi nimeishi nje ya nchi kwa mda mrefu na nilikuwa na mwanaume huko ambae pia hakua mtz na dini zetu zilikuwa tofauti.

Familia zote mbili zilishindwa kuafiki hiyo situation ikabidi kila mtu aendelee na maisha yake. Na sasa ndio nimerudi Tanzania nikaona niendelee na maisha mapya
Kwahyo umeburudika nae vyakutosha alaf ndounatafta mume??
 
Mimi ni mwanamke, umri 32, naishi dar es salaam, kazi ni Engineer nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa na sina mtoto, muislam, body size medium, situmii pombe.

Natafuta mchumba/mume, umri miaka 34-40, awe muislam, awe Engineer au kazi yoyote yenye kipato kizuri, elimu iwe degree kwenda juu, asiwe ameoa, asiwe mlevi, awe anaishi dar es salaam, asiwe anavuta sigara.

Kama una vigezo tukutane PM. Kashfa, matusi na kejeli [emoji114].

Mbarikiwe sana
Mwenyezi Mungu akubariki upate anaekustahili
 
Mimi ni mwanamke, umri 32, naishi dar es salaam, kazi ni Engineer nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa na sina mtoto, muislam, body size medium, situmii pombe.

Natafuta mchumba/mume, umri miaka 34-40, awe muislam, awe Engineer au kazi yoyote yenye kipato kizuri, elimu iwe degree kwenda juu, asiwe ameoa, asiwe mlevi, awe anaishi dar es salaam, asiwe anavuta sigara.

Kama una vigezo tukutane PM. Kashfa, matusi na kejeli [emoji114].

Mbarikiwe sana
Engineer gani anajieleza vizuri hivi..
Au engineer wa kitandani😀
 
Watu wanamshukia mleta mada hadi sio poa [emoji23][emoji23][emoji23] Kuna muda naweza andika uzi lkn kila nikifirikia kuupost naghairi mana nina moyo mdogo waja wa humu wanaweza kukupa presha.
Kwakweli Yani ukiandika kitu uwe na moyo hasa love connect wamezid aisee kunawatu wanastress kama vile watu walioachwa😂😂

Alafu wanawivu naona Kwa wanawake walowazidi naona maana wanaosema ni jobless wanajibuwa vizuri ila Wakiona kazi zao wanaleta makasiriko
 
Kwakweli Yani ukiandika kitu uwe na moyo hasa love connect wamezid aisee kunawatu wanastress kama vile watu walioachwa[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Sio poa yaani. Watu ni wamevurugwa huko wakija humu wanakuja kukuangushia zigo la machungu yao.
 
Sina sura mbaya kama unavyofikiria.. na sio kama sikuwa na mtu kabla.

Mimi nimeishi nje ya nchi kwa mda mrefu na nilikuwa na mwanaume huko ambae pia hakua mtz na dini zetu zilikuwa tofauti.

Familia zote mbili zilishindwa kuafiki hiyo situation ikabidi kila mtu aendelee na maisha yake. Na sasa ndio nimerudi Tanzania nikaona niendelee na maisha mapya
Uko sawa dada yangu Ila sikupangii unacho waza lakini kwa sisi waislam Mika 40 awe hajaoa na awe na digree cjui
 
Back
Top Bottom