Natafuta Mchumba/Mume

Nenda pm ukajielezee kuwa hauna degree
 
pombe ni bora kwanu kuliko mke wacha ni baki na pombe zangu
 
😂😂😂😂Kila raheli kumsakanya engineer spinah maana sisi wengine tuko na skills za mtaani
 
Awe engineer au kazi yoyote yenye kipato kizuri ni
Mojawapo ya kigezo cha mwanamke anaehitaji kuolewa..
Dunia ilipofikia aise
 
Hapo unapofanyia kazi shirika au kampuni kwahyo hawajakuona kweli?? Na Msikitini?
 
Nchi gani?
 
Muda wote unatembea na gari na hata kwenda out uendi Mwanaume utampata wapi jitahidi utembee bibie
 
Find me though 0738041717
 
Mwanamke hakosi mme ila kwa kujitakia.
 
Kwani maengineer Wana kipato kizuri.?
 
Wewe kabila gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…