Natafuta Mchumba/Mume

Natafuta Mchumba/Mume

Eng.. inapaswa upate kijibe kiwe kinakupiga poka ya maana!!, Kila lilo kheri likawae nawe.
 
Mm apa dada nchukie sema m mdogo umr tuh
1683713312936.jpg
 
Sina sura mbaya kama unavyofikiria.. na sio kama sikuwa na mtu kabla. Mimi nimeishi nje ya nchi kwa mda mrefu na nilikuwa na mwanaume huko ambae pia hakua mtz na dini zetu zilikuwa tofauti..familia zote mbili zilishindwa kuafiki hiyo situation ikabidi kila mtu aendelee na maisha yake. Na sasa ndio nimerudi tz nkaona niendelee na maisha mapya
Safi
 
32-40
Hajaoa na hana mtoto? Inawezekana.

Hana mtoto na si mlevi? Haiwezekani.
Awe na degree na kipato cha kueleweka asiwe na walau mtoto, UONGO HUO.

Anyway, kila la kheri. Allah akujalie mume mwema utimize nusu ya dini.
Atapata hanisi [emoji848]
 
Mimi ni mwanamke, umri 32, naishi dar es salaam, kazi ni Engineer nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa na sina mtoto, muislam, body size medium, situmii pombe.

Natafuta mchumba/mume, umri miaka 34-40, awe muislam, awe Engineer au kazi yoyote yenye kipato kizuri, elimu iwe degree kwenda juu, asiwe ameoa, asiwe mlevi, awe anaishi dar es salaam, asiwe anavuta sigara.

Kama una vigezo tukutane dm. Kashfa, matusi na kejeli [emoji114]. Mbarikiwe sana
huna akili wew. umri 32 hujaolewa unasubili Nini Sasa afu unasema mume awe na degree kwani hiyo degree inakuoa. [emoji1][emoji1] eti awe hana mtoto. mmmh we dada unaota au upo sawa amka. nenda kajisaidie mana naona usingizi umekizidia namindoto ya alinacha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji91]
 
Sina sura mbaya kama unavyofikiria.. na sio kama sikuwa na mtu kabla. Mimi nimeishi nje ya nchi kwa mda mrefu na nilikuwa na mwanaume huko ambae pia hakua mtz na dini zetu zilikuwa tofauti..familia zote mbili zilishindwa kuafiki hiyo situation ikabidi kila mtu aendelee na maisha yake. Na sasa ndio nimerudi tz nkaona niendelee na maisha mapya
lakin hapo unapofanyia kazi hakuna wanaume ambao wanaweza kukuoa acha kujidhalilisha
 
32-40
Hajaoa na hana mtoto? Inawezekana.

Hana mtoto na si mlevi? Haiwezekani.
Awe na degree na kipato cha kueleweka asiwe na walau mtoto, UONGO HUO.

Anyway, kila la kheri. Allah akujalie mume mwema utimize nusu ya dini.
These women are just too unrealistic jamani ebu kaaeni chini na mama zenu wawape elimu kwanza ya mahusiano jamani.
Sasa kidume anakipato kizuri asiwe na mtoto au mke sii kutafuta miujiza
 
huna akili wew. umri 32 hujaolewa unasubili Nini Sasa afu unasema mume awe na degree kwani hiyo degree inakuoa. [emoji1][emoji1] eti awe hana mtoto. mmmh we dada unaota au upo sawa amka. nenda kajisaidie mana naona usingizi umekizidia namindoto ya alinacha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji91]
Huyu elimu haijamsaidia kufikiri
 
Mimi ni mwanamke, umri 32, naishi dar es salaam, kazi ni Engineer nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa na sina mtoto, muislam, body size medium, situmii pombe.

Natafuta mchumba/mume, umri miaka 34-40, awe muislam, awe Engineer au kazi yoyote yenye kipato kizuri, elimu iwe degree kwenda juu, asiwe ameoa, asiwe mlevi, awe anaishi dar es salaam, asiwe anavuta sigara.

Kama una vigezo tukutane dm. Kashfa, matusi na kejeli [emoji114]. Mbarikiwe sana
Kila la kheri🙏
 
Hivi love kwenye social media kumbe iko real eeh [emoji15][emoji15]ila czan kama ni sehem sahihi ya kupata mke or mme.anyway kama uko serious utapata walau nusu ya ulichoomba kama c nzima [emoji1436]
 
Back
Top Bottom