Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ahahaha nipo zangu nimelala na sikuzi nimeamia mbali na wavuvi dahEngineer Mwachiluwi tatizo lako ni kushinda wavuvi kunakukosesha mke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha nipo zangu nimelala na sikuzi nimeamia mbali na wavuvi dahEngineer Mwachiluwi tatizo lako ni kushinda wavuvi kunakukosesha mke.
😂😂😂hawa ni wanaume 9 tofauti
😂😂😂😆😆😆😆kaka nami nimelikumbuka hiloIla nikikumbuka zile pisi zilikuwa zinasoma engineering mmmh basi tu yatapitaaa
upo ?
Nipoupo ?
SafiSina sura mbaya kama unavyofikiria.. na sio kama sikuwa na mtu kabla. Mimi nimeishi nje ya nchi kwa mda mrefu na nilikuwa na mwanaume huko ambae pia hakua mtz na dini zetu zilikuwa tofauti..familia zote mbili zilishindwa kuafiki hiyo situation ikabidi kila mtu aendelee na maisha yake. Na sasa ndio nimerudi tz nkaona niendelee na maisha mapya
Atapata hanisi [emoji848]32-40
Hajaoa na hana mtoto? Inawezekana.
Hana mtoto na si mlevi? Haiwezekani.
Awe na degree na kipato cha kueleweka asiwe na walau mtoto, UONGO HUO.
Anyway, kila la kheri. Allah akujalie mume mwema utimize nusu ya dini.
huna akili wew. umri 32 hujaolewa unasubili Nini Sasa afu unasema mume awe na degree kwani hiyo degree inakuoa. [emoji1][emoji1] eti awe hana mtoto. mmmh we dada unaota au upo sawa amka. nenda kajisaidie mana naona usingizi umekizidia namindoto ya alinacha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji91]Mimi ni mwanamke, umri 32, naishi dar es salaam, kazi ni Engineer nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa na sina mtoto, muislam, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 34-40, awe muislam, awe Engineer au kazi yoyote yenye kipato kizuri, elimu iwe degree kwenda juu, asiwe ameoa, asiwe mlevi, awe anaishi dar es salaam, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane dm. Kashfa, matusi na kejeli [emoji114]. Mbarikiwe sana
lakin hapo unapofanyia kazi hakuna wanaume ambao wanaweza kukuoa acha kujidhalilishaSina sura mbaya kama unavyofikiria.. na sio kama sikuwa na mtu kabla. Mimi nimeishi nje ya nchi kwa mda mrefu na nilikuwa na mwanaume huko ambae pia hakua mtz na dini zetu zilikuwa tofauti..familia zote mbili zilishindwa kuafiki hiyo situation ikabidi kila mtu aendelee na maisha yake. Na sasa ndio nimerudi tz nkaona niendelee na maisha mapya
These women are just too unrealistic jamani ebu kaaeni chini na mama zenu wawape elimu kwanza ya mahusiano jamani.32-40
Hajaoa na hana mtoto? Inawezekana.
Hana mtoto na si mlevi? Haiwezekani.
Awe na degree na kipato cha kueleweka asiwe na walau mtoto, UONGO HUO.
Anyway, kila la kheri. Allah akujalie mume mwema utimize nusu ya dini.
Huyu elimu haijamsaidia kufikirihuna akili wew. umri 32 hujaolewa unasubili Nini Sasa afu unasema mume awe na degree kwani hiyo degree inakuoa. [emoji1][emoji1] eti awe hana mtoto. mmmh we dada unaota au upo sawa amka. nenda kajisaidie mana naona usingizi umekizidia namindoto ya alinacha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji91]
Akuchukue eti? 😂😂😂😂 nimecheka sana eti mimi hapa nichukue!Mm apa dada nchukie sema m mdogo umr tuh
View attachment 2643988
Kila la kheri🙏Mimi ni mwanamke, umri 32, naishi dar es salaam, kazi ni Engineer nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa na sina mtoto, muislam, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 34-40, awe muislam, awe Engineer au kazi yoyote yenye kipato kizuri, elimu iwe degree kwenda juu, asiwe ameoa, asiwe mlevi, awe anaishi dar es salaam, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane dm. Kashfa, matusi na kejeli [emoji114]. Mbarikiwe sana
😂😂😂Kwani mbona nyie wakorofi32-40
Hajaoa na hana mtoto? Inawezekana.
Hana mtoto na si mlevi? Haiwezekani.
Awe na degree na kipato cha kueleweka asiwe na walau mtoto, UONGO HUO.
Anyway, kila la kheri. Allah akujalie mume mwema utimize nusu ya dini.
Akuchukue eti? 😂😂😂😂 nimecheka sana eti mimi hapa n