Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We tumbukia mwanangu, mengine yoote niachie mshenga wakoHapo kwenye kazi na umri ndiyo tatizo aisee
Nimekubali mshengaWe tumbukia mwanangu, mengine yoote niachie mshenga wako
WELCOMEMimi ni mwanamke, umri 32, naishi dar es salaam, kazi ni Engineer nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa na sina mtoto, muislam, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 34-40, awe muislam, awe Engineer au kazi yoyote yenye kipato kizuri, elimu iwe degree kwenda juu, asiwe ameoa, asiwe mlevi, awe anaishi dar es salaam, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM. Kashfa, matusi na kejeli [emoji114].
Mbarikiwe saa
Hahaha. Kuna mawe yanarushwa hatari.Ila JF sio mahala pa kueleza shida zako vinginevyo ujipange.
Huwaga sura za babaIla nikikumbuka zile pisi zilikuwa zinasoma engineering mmmh basi tu yatapitaaa
Oh nice...so u were living abroad. I lived abroad too so we can match up becoz we both have ample exposure and we can share some of our experiences au unasemaje mrembo.
Tafuta bodaboda wako akuoe hayo mambo ya elimu yatakuponza na kiburi çhako!Mimi ni mwanamke, umri 32, naishi dar es salaam, kazi ni Engineer nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa na sina mtoto, muislam, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 34-40, awe muislam, awe Engineer au kazi yoyote yenye kipato kizuri, elimu iwe degree kwenda juu, asiwe ameoa, asiwe mlevi, awe anaishi dar es salaam, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM. Kashfa, matusi na kejeli [emoji114].
Mbarikiwe sana
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Vigezo vyote ninavyo isipokua kimoja
Shusha elimu iwe certificate
Mimi injinia wa mbao
Fundi selemala
Wakifika umri huo wanaangukia popote?Umri wa 30+ huwa unawachanganya sana wanawake
Mungu akujalie kutimiza hitaji la moyo wako
Na wanakuwa wanakuganda sio poa kila wakati anakuita 'mume wangu'Wakifika umri huo wanaangukia popote?
Una sifa sawa na binamu yangu. Nilikuwa nammindi kipindi tu, bahati akiolewa na engineer mwenzie, ndoa haikudumu, wakaachana. Kisa hajamzalia. Jikajisemea moyoni una sifa zote kwa mke naemuhitaji. Nahitaji mwanamke tasa kwasasa.Mimi ni mwanamke, umri 32, naishi dar es salaam, kazi ni Engineer nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa na sina mtoto, muislam, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 34-40, awe muislam, awe Engineer au kazi yoyote yenye kipato kizuri, elimu iwe degree kwenda juu, asiwe ameoa, asiwe mlevi, awe anaishi dar es salaam, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM. Kashfa, matusi na kejeli [emoji114].
Mbarikiwe sana
😀😀😀😀😀😀Kuna course kama hiyo ya uhandisi dada zetu wanakuaga na sura za Baba na bibi zao yaani unaweza kukuta meno ya mbele yako kwa nje lakini wanakua na akili hao