kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda ameanzia certificate, diploma had universityElimu ya vyuo ni ipi hiyo??
Jamaniiii..... Kwani Tee wife Material haupo nchi hii hadi useme fulsa zinakupita? hata kama kwani ni lipi lisilowezekana chini ya juu hili?Jomaniiiii bahati zinatupitaaa na tuko mbali dah ngoja nirudi nyumbani pamenogaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila la kheri
Niko na 38+ years nije hivyo hivyo?Usifanye hivyo jamani.....
Najaa[emoji2088][emoji2088][emoji2088]
is not a problem at all....Niko na 38+ years nije hivyo hivyo?
Wewe tafuta mchumba anayekuvutia. Umaninifu inategemeana na wewe katika mambo mawili... Jinsi unavyongurumisha mchezo kwa bed, jinsi unavyokuwa karibu na mkeo na pia jinisi unavyoyakimu mahitaji yake ya msingi na ya ziada...Mimi ni kijana above 35 mwenye elimu ya vyuo nina shughuli zangu halali za kuniingizia kipato cha kusustain maisha ya familia. Mwanamke ninaemtaka awe above 25 to 35 no problem. awe na elimu kiasi ya kutusaidia kujadili mambo yanayohitaji japo analysis kidogo kwa mustakabali wa future yetu. Mimi ni mkristo japo si limit dhehebu.
Kwa kweli narudia hili I need a very serious and committed lady. na siyo kwamba makubaliano yatafanyiki kimtandao tu... hapana... tunaweza onana ili upata nafasi ya kuni assess then from their you can make your decission.
Wishing you all the best
kwa kweli ni hayupo serious kabisa
Kidogo tu nikidhi vigezo vya kuja pm[emoji53]ila ndo basi tena
Kila la kheri mkuu
Hahahahaha umenifanya nicheke kwa nguvu usiku huuNenda kaolewe toka kwa shemeji wewe!