Natafuta mchumba mwaminifu na mwenye malengo kimaisha

Natafuta mchumba mwaminifu na mwenye malengo kimaisha

Mimi ni kijana above 35 mwenye elimu ya vyuo nina shughuli zangu halali za kuniingizia kipato cha kusustain maisha ya familia. Mwanamke ninaemtaka awe above 25 to 35 no problem. awe na elimu kiasi ya kutusaidia kujadili mambo yanayohitaji japo analysis kidogo kwa mustakabali wa future yetu. Mimi ni mkristo japo si limit dhehebu.

Kwa kweli narudia hili I need a very serious and committed lady. na siyo kwamba makubaliano yatafanyiki kimtandao tu... hapana... tunaweza onana ili upata nafasi ya kuni assess then from their you can make your decission.

Wishing you all the best
Katafute kwenye mahoteli makubwa utapata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wengine sio member hapa au hata kama ni member pengine asingependa ujue ID yake so ni vyema ungeweka namba zako za simu plus email address ili iwe rahisi kuwasiliana. Believe me, unaweza kupata mke wa kukufaa kabisa hapa JF. Achana na hao wanaokwambia kwani wa mtaani huwaoni, inshort wanawake wa JF wanaishi pia mitaani. Muhimu ni kutumia ubongo wako vizuri wakati unafanya selection huku ukimshirikisha Mungu.
 
Back
Top Bottom