Natafuta mchumba (mwanamke)

Natafuta mchumba (mwanamke)

Nyonyo ngumu ngumu alf umpe buku 5 ya kula kila siku alafu asiwe na mambo mengi utakuwa haupo serious kizuri gharama
 
Domo zege mtaani ,kazin ,vibanda umiza ,kanisani ,sokoni , barabarani.....huko kote hujaona mademu ????

Kwa taarifa yako jf kuna wamama waliolewa,wake za watu ,single maza walioshindikana ,....
Humu kumejaa single maza tena wale namba A kabisa ambao wameshatumika mpaka basi halafu wana stress za hatari na njaa ya hela jiandae na vizinga vya maana ni bora ujikamatie kabeki tatu ka jirani hapo
 
Eti 'nyonyo ngumungumu sio nyonyo lala'
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Huyo akamuumbe mwenyewe sio dunia hii ya sasa
 
Eeh kwa Cv hii
Tufanye tu mishe zingine...
Aisee!!! Ukikoswa koswa kwenye Maumbile unapatwa kwenye Elimu, hujakaa sawa ohooo unaambiwa nyonyo lisilale , ukigeuka huku unaambiwa ooh kilometa zimesonga....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Humu kumejaa single maza tena wale namba A kabisa ambao wameshatumika mpaka basi halafu wana stress za hatari na njaa ya hela jiandae na vizinga vya maana ni bora ujikamatie kabeki tatu ka jirani hapo
Duuh mkuu mbona umesagia sana?
 
Domo zege mtaani ,kazin ,vibanda umiza ,kanisani ,sokoni , barabarani.....huko kote hujaona mademu ????

Kwa taarifa yako jf kuna wamama waliolewa,wake za watu ,single maza walioshindikana ,....
Aiseee, mbona kuna wanachuo wengi tu humu
 
Back
Top Bottom