Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na traditionally and spiritually muhimu kuanza na lower profile na humble mood ambayo ni realBudget yake kasema ni aftano pa dei 🤣
hio elfu tano sio motisha, kimsingi nimefanya kosa kuweka huo ujumbe, japo muhimu kuondoa over expectations for the materials driven fanatics😅😅😅hutaki aftano
Kwani hawa wadada wa humu jf si ndio hao hao wa mtaani kwako? Acha kumkazia maisha mwenzako,yeye ameamua kuongea nao kwa pamojaDomo zege mtaani, kazini, vibanda umiza, kanisani, sokoni, barabarani.....huko kote hujaona mademu????
Kwa taarifa yako jf kuna wamama waliolewa,wake za watu ,single maza walioshindikana ,....
Yaani hiyo haijarishi amechakata au hajachakata, mi nadhani mwamba amejitoa sanaBudget yake kasema ni aftano pa dei 🤣
Yaani hiyo haijarishi amechakata au hajachakata, mi nadhani mwamba amejitoa sanaBudget yake kasema ni aftano pa dei 🤣
Waajiriwa wa serikali mna shida gani? Ukifa masikini utamlaumu nani?Habari habari naingia na kiu na haja ya moyo. Nahitaji mwanamke binti asiye na mambo mengi asiye na mtoto (asiye legend wa labor), nyonyo ngumungumu sio nyonyo lala, si kwa ubaya awe mfanyakazi, mwanafunzi wa chuo, kamaliza form six, cheti, diploma,, mhitimu. Japo ni kwa mapenzi ya kweli na dhati, ila napendekeza kuishi kama wapenzi Kwa miaka kwanzia 1-2, umate umate sina kivile, huduma zangu kwa kuanzia Kodi ya kula elfu5 kila siku, bajeti emergency Kwa mwezi elfu50, Kodi ya kula sitoi yote ntatoa kila siku, na hio elfu50 itasubiri shida mfano saloon, unashida ya kuumwa etc, naweza kumtafutia kadi ya bima.
Uelewa, Uvumilivu, Utii, unyenyekevu, na Heshima ni nguzo za kike na mahusiano.
Masister Duu, mademu wa insta, TikTok, walevi wa WhatsApp na takataka zingine sina mzuka nao.
Kila kitu iwe kiasi.
Kipato changu kawaida sana japo cha ajira ya kudumu.
Ukija inbox uliza maswali ya msingi ntajibu yote. Uje Kwa dhamira ya dhati ya Mungu kama ilivyo dhamira yangu.
Maswali yanayoakisi vigezo vya Mungu na vya kudumu. Maswali ya Ibilisi ntapotezea.
Tutaongea mengine inbox.
Location: Nipo Moro, demu akiwa wa Moro au DSM ni poa zaidi. Kwa mwenye maombi ya Mungu popote ulipo wewe ni mke wangu usiogope ongea na Mungu.
Age Simba SC. Fan mnazi shazi Shaz Scania 40.
Ubachelor ni dhambi kuu. Tuikatae Kwa nguvu zote.
Umri sibagui fungamanisha mimi 40 so jipimie mwenyewe.
Dini na makabila ni ya Mungu na huu mpango pia naukabidhi kwake.
Dharau, kejeli, matusi, masimango, kuvunja moyo nakaribisha vyote.
Kujifunza sio kwa kudekezwa tu.
Uwe huru kucomment.
Tiba ya moyo ni maudhui ya moyo wenyewe.
Email: shazwadiz@gmail.com
huy mbaguzi yawezekana yeye aliokota mkewe au demu wake mtaani kwake, globalisation ni kama demokcatization of all life spheres. all in all ni antincipate aina hii ya watu nikawajumuisha kwenye wakosoaji, wanakejeli, wanamatusi, wana mzaha na wote woteKwani hawa wadada wa humu jf si ndio hao hao wa mtaani kwako? Acha kumkazia maisha mwenzako,yeye ameamua kuongea nao kwa pamoja
Kuna mwenzio amepigwa Ndoige ya "Afu 50" na binti ya Gongo la Mboto huko!!!Habari habari naingia na kiu na haja ya moyo. Nahitaji mwanamke binti asiye na mambo mengi asiye na mtoto (asiye legend wa labor), nyonyo ngumungumu sio nyonyo lala, si kwa ubaya awe mfanyakazi, mwanafunzi wa chuo, kamaliza form six, cheti, diploma,, mhitimu. Japo ni kwa mapenzi ya kweli na dhati, ila napendekeza kuishi kama wapenzi Kwa miaka kwanzia 1-2, umate umate sina kivile, huduma zangu kwa kuanzia Kodi ya kula elfu5 kila siku, bajeti emergency Kwa mwezi elfu50, Kodi ya kula sitoi yote ntatoa kila siku, na hio elfu50 itasubiri shida mfano saloon, unashida ya kuumwa etc, naweza kumtafutia kadi ya bima.
Uelewa, Uvumilivu, Utii, unyenyekevu, na Heshima ni nguzo za kike na mahusiano.
Masister Duu, mademu wa insta, TikTok, walevi wa WhatsApp na takataka zingine sina mzuka nao.
Kila kitu iwe kiasi.
Kipato changu kawaida sana japo cha ajira ya kudumu.
Ukija inbox uliza maswali ya msingi ntajibu yote. Uje Kwa dhamira ya dhati ya Mungu kama ilivyo dhamira yangu.
Maswali yanayoakisi vigezo vya Mungu na vya kudumu. Maswali ya Ibilisi ntapotezea.
Tutaongea mengine inbox.
Location: Nipo Moro, demu akiwa wa Moro au DSM ni poa zaidi. Kwa mwenye maombi ya Mungu popote ulipo wewe ni mke wangu usiogope ongea na Mungu.
Age Simba SC. Fan mnazi shazi Shaz Scania 40.
Ubachelor ni dhambi kuu. Tuikatae Kwa nguvu zote.
Umri sibagui fungamanisha mimi 40 so jipimie mwenyewe.
Dini na makabila ni ya Mungu na huu mpango pia naukabidhi kwake.
Dharau, kejeli, matusi, masimango, kuvunja moyo nakaribisha vyote.
Kujifunza sio kwa kudekezwa tu.
Uwe huru kucomment.
Tiba ya moyo ni maudhui ya moyo wenyewe.
Email: shazwadiz@gmail.com
nimeiweka hio ya ajira ili kuwakamata akili ngedere wa aina yako, wavamie yasiyo wahusu mnipe appetite ya pesa nizitumie vizuriWaajiriwa wa serikali mna shida gani? Ukifa masikini utamlaumu nani?
mi naitaka bonzo bonzo ya bana nzambeKuna mwenzio amepigwa Ndoige ya "Afu 50" na binti ya Gongo la Mboto huko!!!
😂😂😂😂😂😂😂Eeh kwa Cv hii
Tufanye tu mishe zingine...
Aisee!!! Ukikoswa koswa kwenye Maumbile unapatwa kwenye Elimu, hujakaa sawa ohooo unaambiwa nyonyo lisilale , ukigeuka huku unaambiwa ooh kilometa zimesonga....
nilitahadharisha aina ya uwasilisho wangu, yapasa kuwa jema maana imekuleta hata wewe umeonesha potentiality za tress passing...karibu sana..thematic and territorial intrusionUnataka mwanamke mwenye busara wewe mwenyewe una uhuni ndani yako.
Kila la kheri
Oknilitahadharisha aina ya uwasilisho wangu, yapasa kuwa jema maana imekuleta hata wewe umeonesha potentiality za tress passing...karibu sana..thematic and territorial intrusion
Una pesa au vijisent? 4.5m per month haunizidi chochote makunimeiweka hio ya ajira ili kuwakamata akili ngedere wa aina yako, wavamie yasiyo wahusu mnipe appetite ya pesa nizitumie vizuri
Babiki wa pepe Gadiola usimkatishe tamaa ndugu yako hivo bhana.Domo zege mtaani, kazini, vibanda umiza, kanisani, sokoni, barabarani.....huko kote hujaona mademu????
Kwa taarifa yako jf kuna wamama waliolewa,wake za watu ,single maza walioshindikana ,....
natumia a lil bit ya econometrics kwenye hii need na motivational survey...life yapasa kuwa so real, hapo hajawahi inhouse kawaida sana..ni kama posho tu ya chipsi na vocha kawaida sanaYaani hiyo haijarishi amechakata au hajachakata, mi nadhani mwamba amejitoa sana