Natafuta mchumba (mwanamke)

Natafuta mchumba (mwanamke)

Mwanangu bora pisi ya mtaani uione uisome ndio uanze nayo, huku kwenye mitandao ya kijamii utakutanishwa na mambo unaweza kuvaa chupi kichwani kwa kudata, ani hapa unaweza kutana na Mal@y@ hizo ukastarehe na maumivu!!
 
😅😅😅hutaki aftano
hio elfu tano sio motisha, kimsingi nimefanya kosa kuweka huo ujumbe, japo muhimu kuondoa over expectations for the materials driven fanatics
 
Domo zege mtaani, kazini, vibanda umiza, kanisani, sokoni, barabarani.....huko kote hujaona mademu????

Kwa taarifa yako jf kuna wamama waliolewa,wake za watu ,single maza walioshindikana ,....
Kwani hawa wadada wa humu jf si ndio hao hao wa mtaani kwako? Acha kumkazia maisha mwenzako,yeye ameamua kuongea nao kwa pamoja
 
Habari habari naingia na kiu na haja ya moyo. Nahitaji mwanamke binti asiye na mambo mengi asiye na mtoto (asiye legend wa labor), nyonyo ngumungumu sio nyonyo lala, si kwa ubaya awe mfanyakazi, mwanafunzi wa chuo, kamaliza form six, cheti, diploma,, mhitimu. Japo ni kwa mapenzi ya kweli na dhati, ila napendekeza kuishi kama wapenzi Kwa miaka kwanzia 1-2, umate umate sina kivile, huduma zangu kwa kuanzia Kodi ya kula elfu5 kila siku, bajeti emergency Kwa mwezi elfu50, Kodi ya kula sitoi yote ntatoa kila siku, na hio elfu50 itasubiri shida mfano saloon, unashida ya kuumwa etc, naweza kumtafutia kadi ya bima.

Uelewa, Uvumilivu, Utii, unyenyekevu, na Heshima ni nguzo za kike na mahusiano.

Masister Duu, mademu wa insta, TikTok, walevi wa WhatsApp na takataka zingine sina mzuka nao.
Kila kitu iwe kiasi.

Kipato changu kawaida sana japo cha ajira ya kudumu.

Ukija inbox uliza maswali ya msingi ntajibu yote. Uje Kwa dhamira ya dhati ya Mungu kama ilivyo dhamira yangu.

Maswali yanayoakisi vigezo vya Mungu na vya kudumu. Maswali ya Ibilisi ntapotezea.

Tutaongea mengine inbox.

Location: Nipo Moro, demu akiwa wa Moro au DSM ni poa zaidi. Kwa mwenye maombi ya Mungu popote ulipo wewe ni mke wangu usiogope ongea na Mungu.

Age Simba SC. Fan mnazi shazi Shaz Scania 40.

Ubachelor ni dhambi kuu. Tuikatae Kwa nguvu zote.

Umri sibagui fungamanisha mimi 40 so jipimie mwenyewe.

Dini na makabila ni ya Mungu na huu mpango pia naukabidhi kwake.

Dharau, kejeli, matusi, masimango, kuvunja moyo nakaribisha vyote.
Kujifunza sio kwa kudekezwa tu.
Uwe huru kucomment.

Tiba ya moyo ni maudhui ya moyo wenyewe.

Email: shazwadiz@gmail.com
Waajiriwa wa serikali mna shida gani? Ukifa masikini utamlaumu nani?
 
Kwani hawa wadada wa humu jf si ndio hao hao wa mtaani kwako? Acha kumkazia maisha mwenzako,yeye ameamua kuongea nao kwa pamoja
huy mbaguzi yawezekana yeye aliokota mkewe au demu wake mtaani kwake, globalisation ni kama demokcatization of all life spheres. all in all ni antincipate aina hii ya watu nikawajumuisha kwenye wakosoaji, wanakejeli, wanamatusi, wana mzaha na wote wote
 
Habari habari naingia na kiu na haja ya moyo. Nahitaji mwanamke binti asiye na mambo mengi asiye na mtoto (asiye legend wa labor), nyonyo ngumungumu sio nyonyo lala, si kwa ubaya awe mfanyakazi, mwanafunzi wa chuo, kamaliza form six, cheti, diploma,, mhitimu. Japo ni kwa mapenzi ya kweli na dhati, ila napendekeza kuishi kama wapenzi Kwa miaka kwanzia 1-2, umate umate sina kivile, huduma zangu kwa kuanzia Kodi ya kula elfu5 kila siku, bajeti emergency Kwa mwezi elfu50, Kodi ya kula sitoi yote ntatoa kila siku, na hio elfu50 itasubiri shida mfano saloon, unashida ya kuumwa etc, naweza kumtafutia kadi ya bima.

Uelewa, Uvumilivu, Utii, unyenyekevu, na Heshima ni nguzo za kike na mahusiano.

Masister Duu, mademu wa insta, TikTok, walevi wa WhatsApp na takataka zingine sina mzuka nao.
Kila kitu iwe kiasi.

Kipato changu kawaida sana japo cha ajira ya kudumu.

Ukija inbox uliza maswali ya msingi ntajibu yote. Uje Kwa dhamira ya dhati ya Mungu kama ilivyo dhamira yangu.

Maswali yanayoakisi vigezo vya Mungu na vya kudumu. Maswali ya Ibilisi ntapotezea.

Tutaongea mengine inbox.

Location: Nipo Moro, demu akiwa wa Moro au DSM ni poa zaidi. Kwa mwenye maombi ya Mungu popote ulipo wewe ni mke wangu usiogope ongea na Mungu.

Age Simba SC. Fan mnazi shazi Shaz Scania 40.

Ubachelor ni dhambi kuu. Tuikatae Kwa nguvu zote.

Umri sibagui fungamanisha mimi 40 so jipimie mwenyewe.

Dini na makabila ni ya Mungu na huu mpango pia naukabidhi kwake.

Dharau, kejeli, matusi, masimango, kuvunja moyo nakaribisha vyote.
Kujifunza sio kwa kudekezwa tu.
Uwe huru kucomment.

Tiba ya moyo ni maudhui ya moyo wenyewe.

Email: shazwadiz@gmail.com
Kuna mwenzio amepigwa Ndoige ya "Afu 50" na binti ya Gongo la Mboto huko!!!
 
Waajiriwa wa serikali mna shida gani? Ukifa masikini utamlaumu nani?
nimeiweka hio ya ajira ili kuwakamata akili ngedere wa aina yako, wavamie yasiyo wahusu mnipe appetite ya pesa nizitumie vizuri
 
Eeh kwa Cv hii
Tufanye tu mishe zingine...
Aisee!!! Ukikoswa koswa kwenye Maumbile unapatwa kwenye Elimu, hujakaa sawa ohooo unaambiwa nyonyo lisilale , ukigeuka huku unaambiwa ooh kilometa zimesonga....
😂😂😂😂😂😂😂
Dah nimecheka peke yangu mpaka majirani wananidisi hapa wanajua labda dishi limeyumba...
 
Unataka mwanamke mwenye busara wewe mwenyewe una uhuni ndani yako.
Kila la kheri
nilitahadharisha aina ya uwasilisho wangu, yapasa kuwa jema maana imekuleta hata wewe umeonesha potentiality za tress passing...karibu sana..thematic and territorial intrusion
 
nilitahadharisha aina ya uwasilisho wangu, yapasa kuwa jema maana imekuleta hata wewe umeonesha potentiality za tress passing...karibu sana..thematic and territorial intrusion
Ok
 
nimeiweka hio ya ajira ili kuwakamata akili ngedere wa aina yako, wavamie yasiyo wahusu mnipe appetite ya pesa nizitumie vizuri
Una pesa au vijisent? 4.5m per month haunizidi chochote maku
 
Domo zege mtaani, kazini, vibanda umiza, kanisani, sokoni, barabarani.....huko kote hujaona mademu????

Kwa taarifa yako jf kuna wamama waliolewa,wake za watu ,single maza walioshindikana ,....
Babiki wa pepe Gadiola usimkatishe tamaa ndugu yako hivo bhana.
 
Yaani hiyo haijarishi amechakata au hajachakata, mi nadhani mwamba amejitoa sana
natumia a lil bit ya econometrics kwenye hii need na motivational survey...life yapasa kuwa so real, hapo hajawahi inhouse kawaida sana..ni kama posho tu ya chipsi na vocha kawaida sana
 
Back
Top Bottom