Natafuta Mchumba (mwanamke)

Natafuta Mchumba (mwanamke)

Jasuma

Member
Joined
Jul 11, 2023
Posts
25
Reaction score
16
Naitwa Alex, Elimu yangu ni Degree pia ni mwajiriwa natafuta Mchumba yaani mwanamke wa kuoa.

SIFA
Awe na elimu kuanzia Diploma na kuendelea.
Awe mweupe au maji ya kunde.
Asiye kunywa pombe.
Awe mwenye hofu na Mungu.
Awe hajazaa na Kama amezaa asiwe na zaidi ya mtoto mmoja.
Awe mrefu au mfupi Ni sawa tu.
Awe na miaka kuanzia 18-32.

Kama una sifa hizo naomba uni-PM
 
Back
Top Bottom